Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,361
- 91,912
Jf bhana....Mungu atusaidieKeteni mziki wa fitina, wekeni ushahidi wa hayo mambo huko .. pumba na mchele vitengane.. kuliko maneno kwa wanaume ( watoto wa kiume havifai )..
Jf bhana....Mungu atusaidieKeteni mziki wa fitina, wekeni ushahidi wa hayo mambo huko .. pumba na mchele vitengane.. kuliko maneno kwa wanaume ( watoto wa kiume havifai )..
Hasa kwa wa kiumeni haipendezi kabisaNajua sana mkuu, humu ndani ni kuishi kama watu wanavyotaka uishi. Hata wakipiga umbea huko ni juu yao na shauri zao mwisho wa siku they don add anything on my/ our plates.
Acheni kurumbana sio vizuri, mmoja wenu inabidi atulie ili marumbano haya yaishe
Bro hili linahitaji ushahidi? Wewe ulikua unachat na dogo huyu anaitwa mwichuliwi ukaponda sana mademu wa huku unaowajua na mmewahi kukutana. Unahisi hadi mm nimejua, nimejuaje?Keteni mziki wa fitina, wekeni ushahidi wa hayo mambo huko .. pumba na mchele vitengane.. kuliko maneno kwa wanaume ( watoto wa kiume havifai )..
Hbd nionwe na mwingine afu kuzikana nizikane nawe?😳 Weee, usiniambie? Ngoja nimshikilie huyu anaekuwa Nami hata Kwa kidogo🙏😊😊 ujue wewe wangu wa kufa na kuzikanaa..
😅... Unajua JF.. ina mambo ya kiwaki sanaa, kuna watu wanatumia nguvu kubwa sana hapa ni maisha harisi.. kumbe hapa tuna zuga zuga.. badae kila mtu anapambana na njaaa yakenipo bro sema nimetulia naona watu bado wanagombana
AiseeHbd nionwe na mwingine afu kuzikana nizikane nawe?😳 Weee, usiniambie? Ngoja nimshikilie huyu anaekuwa Nami hata Kwa kidogo🙏
Mm nilikua namjibu mtu mwingine, hujaona kavamia na kuanza kuleta ujinga?Najua sana mkuu, humu ndani ni kuishi kama watu wanavyotaka uishi. Hata wakipiga umbea huko ni juu yao na shauri zao mwisho wa siku they don add anything on my/ our plates.
Acheni kurumbana sio vizuri, mmoja wenu inabidi atulie ili marumbano haya yaishe
Safi sana, Kama Mungu yupo basi dini ipo.Jf bhana....Mungu atusaidie
Aisee,huu Uzi utapigwa ban si muda....Dunia si yetu mkuu....msiwe na maneno makali mno tafadhali..plzzMzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
👉Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
👉Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana🤔.
👉Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
👉Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
👉Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea.
Sijui kama umenielewa vizuri, hakuna sehemu nimesema umemtaka, au umeniundia kikao.Mzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana
.
Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea.
Kama wame eddit hizo message, Mwachiluwi mbona sinaga nae story PM.. mie na huyo mbona ni mbingu na ardhi.. huwa sina time ya kudhalilisha mwanamke na hasa kama simfahamu.. mawasiliano na huyo dogo ni ya namha za mademu tu alinipa namba za mademu.. na nilipo jilizisha sio wakali nikapotezeaa.. 😅😅😅Bro hili linahitaji ushahidi? Wewe ulikua unachat na dogo huyu anaitwa mwichuliwi ukaponda sana mademu wa huku unaowajua na mmewahi kukutana. Unahisi hadi mm nimejua, nimejuaje?
Bado unahisi nawasingizia hawa??
AmiinSafi sana, Kama Mungu yupo basi dini ipo.
Nilicho ona kuna michezo watu wanatengeza ( wanachonga mi message ) 😅😅😅.. alafu wanafanya kujaza ujinga..Mzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
👉Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
👉Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana🤔.
👉Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
👉Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
👉Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea. and 100 others, mshamba_hachekwi
Anaongea vitu ambavyo sijasema. Nilichosema na alichojibu ni vitu tofautiAisee,huu Uzi utapigwa ban si muda....Dunia si yetu mkuu....msiwe na maneno makali mno tafadhali..plzz
.. we tuliya kwanzaa... 😬😬😬😬Hbd nionwe na mwingine afu kuzikana nizikane nawe?😳 Weee, usiniambie? Ngoja nimshikilie huyu anaekuwa Nami hata Kwa kidogo🙏
More love less ego, madam Aki prove kwa ushahidi,l.Aisee,huu Uzi utapigwa ban si muda....Dunia si yetu mkuu....msiwe na maneno makali mno tafadhali..plzz
Kama wame eddit hizo message, Mwachiluwi mbona sinaga nae story PM.. mie na huyo mbona ni mbingu na ardhi.. huwa sina time ya kudhalilisha mwanamke na hasa kama simfahamu.. mawasiliano na huyo dogo ni ya namha za mademu tu alinipa namba za mademu.. na nilipo jilizisha sio wakali nikapotezeaa..![]()


sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujuaunapenda sana drama bro.... amua kupuuzia tu usijichosheAnaongea vitu ambavyo sijasema. Nilichosema na alichojibu ni vitu tofauti