mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,377
- 75,726
unapenda sana drama bro.... amua kupuuzia tu usijichosheAnaongea vitu ambavyo sijasema. Nilichosema na alichojibu ni vitu tofauti
unapenda sana drama bro.... amua kupuuzia tu usijichosheAnaongea vitu ambavyo sijasema. Nilichosema na alichojibu ni vitu tofauti
County,plz wewe si wa mambo haya,wewe si wa kujibishana na watu....plz jilindie heshima Kamanda....hujui tu ila nikiyaona haya Naumia japo napuuzia Ili usije ona naingilia njia yako.Please...acha rafiki yangu(sijui kama bado ni rafiki)....ikiwezekana hizi jukwaa usiingie pleaseSijui kama umenielewa vizuri, hakuna sehemu nimesema umemtaka, au umeniundia kikao.
Nilichosema mbona kipo wazi hapo? Soma tena
Funguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...Sijui kama umenielewa vizuri, hakuna sehemu nimesema umemtaka, au umeniundia kikao.
Nilichosema mbona kipo wazi hapo? Soma tena
Selfika part 2Kipeni jina hiki kijiwe chenu.
Patawaka moto huku uzi ufungwe jamani,Keteni mziki wa fitina, wekeni ushahidi wa hayo mambo huko .. pumba na mchele vitengane.. kuliko maneno kwa wanaume ( watoto wa kiume havifai )..
National Anthem kaka yangu, naomba usinitag tena humu pleaseFunguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...
Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
Dah maneno yame kuwa mengi, aje na evidence 🤣😂🤒Kama wame eddit hizo message, Mwachiluwi mbona sinaga nae story PM.. mie na huyo mbona ni mbingu na ardhi.. huwa sina time ya kudhalilisha mwanamke na hasa kama simfahamu.. mawasiliano na huyo dogo ni ya namha za mademu tu alinipa namba za mademu.. na nilipo jilizisha sio wakali nikapotezeaa.. 😅😅😅
😅😅😅 ngoja dogo aje.. mie muwazi.. Mwachiluwi nilichart nae PM na akanipa namba za mademu watatu.. mada ya kuanza diss mademu wa JF humu.. hiyo kama wame chonga hizo message mkuu.. ila humu pa kiwaki sanaaa ..[emoji23][emoji23][emoji23] sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujua
Madam Ni taarabu tu ana leta😂🤣🤒Patawaka moto huku uzi ufungwe jamani,
Kabisa juzi wamerumbana sana mpaka wengine wakapata ban, halafu kitu ambacho hata hakihitaji mambo mengi ni kueleweshan kiutu uzima yanaisha.Hasa kwa wa kiumeni haipendezi kabisa
haya dada yangu.. hata mie nasepa nilipita kidogo tu 😅😅National Anthem kaka yangu, naomba usinitag tena humu please
IPO ndugu yetu, Ili mradi mijadala salama🙏Dini imo?
Poa nimekuelewa ngoja nitulie. But wanachofanya hawa wanaume wenzetu huwa inasikitisha sana, wewe mwenyewe picha yako iliwekwa kati ukapondwa mnoo. Ukiwa hapa hadharani unasifiwaCounty,plz wewe si wa mambo haya,wewe si wa kujibishana na watu....plz jilindie heshima Kamanda....hujui tu ila nikiyaona haya Naumia japo napuuzia Ili usije ona naingilia njia yako.Please...acha rafiki yangu(sijui kama bado ni rafiki)....ikiwezekana hizi jukwaa usiingie please
Tatizo humu watu wanaishi kwa hisia sana.. Ila kama wangeamua kuishi real mbona mambo rahisi sana.. ila hisia zikizidi sana ni tatizoKabisa juzi wamerumbana sana mpaka wengine wakapata ban, halafu kitu ambacho hata hakihitaji mambo mengi ni kueleweshan kiutu uzima yanaisha.
Sikia mkuu kila siku mm nahusishwa na mambo ambayo siyajui mwazo wala kichwa mwazo nilikausha maisha yaendelee nikaonekana bwege mjing leo kibao kimenigeukia mimi sawaFunguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...
Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
Doh, haya bro.Funguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...
Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
haya maneno maneno ndio mnakosea, inabidi mnafunguka mazimaa.. unafunguka mazima nani kafanya nini.. na kama vipi kiumeni unawavuta watu huko PM undeni group pasuaneni .. mkirudi huku mnakuwa mmemalizana.. ila mambo ya kificho ficho inaishia watu kutembea kwa kujihisiPoa nimekuelewa ngoja nitulie. But wanachofanya hawa wanaume wenzetu huwa inasikitisha sana, wewe mwenyewe picha yako iliwekwa kati ukapondwa mnoo. Ukiwa hapa hadharani unasifiwa
Huu unafki aisee nimeukubali
Basi sawa, wamechonga chats wakusingizie bro.[emoji28][emoji28][emoji28] ngoja dogo aje.. mie muwazi.. Mwachiluwi nilichart nae PM na akanipa namba za mademu watatu.. mada ya kuanza diss mademu wa JF humu.. hiyo kama wame chonga hizo message mkuu.. ila humu pa kiwaki sanaaa ..