Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Keteni mziki wa fitina, wekeni ushahidi wa hayo mambo huko .. pumba na mchele vitengane.. kuliko maneno kwa wanaume ( watoto wa kiume havifai )..
Bro hili linahitaji ushahidi? Wewe ulikua unachat na dogo huyu anaitwa mwichuliwi ukaponda sana mademu wa huku unaowajua na mmewahi kukutana. Unahisi hadi mm nimejua, nimejuaje?

Bado unahisi nawasingizia hawa??
 
Najua sana mkuu, humu ndani ni kuishi kama watu wanavyotaka uishi. Hata wakipiga umbea huko ni juu yao na shauri zao mwisho wa siku they don add anything on my/ our plates.

Acheni kurumbana sio vizuri, mmoja wenu inabidi atulie ili marumbano haya yaishe
Mm nilikua namjibu mtu mwingine, hujaona kavamia na kuanza kuleta ujinga?

Wakipiga umbea ni sawa? Kumbuka hawa ni wanaume
 
Mzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
👉Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
👉Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana🤔.
👉Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
👉Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
👉Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea.
Aisee,huu Uzi utapigwa ban si muda....Dunia si yetu mkuu....msiwe na maneno makali mno tafadhali..plzz
 
Mzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana.
Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea.
Sijui kama umenielewa vizuri, hakuna sehemu nimesema umemtaka, au umeniundia kikao.

Nilichosema mbona kipo wazi hapo? Soma tena
 
Bro hili linahitaji ushahidi? Wewe ulikua unachat na dogo huyu anaitwa mwichuliwi ukaponda sana mademu wa huku unaowajua na mmewahi kukutana. Unahisi hadi mm nimejua, nimejuaje?

Bado unahisi nawasingizia hawa??
Kama wame eddit hizo message, Mwachiluwi mbona sinaga nae story PM.. mie na huyo mbona ni mbingu na ardhi.. huwa sina time ya kudhalilisha mwanamke na hasa kama simfahamu.. mawasiliano na huyo dogo ni ya namha za mademu tu alinipa namba za mademu.. na nilipo jilizisha sio wakali nikapotezeaa.. 😅😅😅
 
Mzeee Kuna 1 million chap ya haraka, Kama una ushahidi visible wa I'd yangu kumtaka au kumfata huyo mbwa mwenzio pm.
👉Niku undie kikao kwa kipi sister??, Au ndo histrionic personality disorder.
👉Mimi nimtake huyoo ???, Mbona mna jazana ujinga Sana🤔.
👉Ita kila mmoja aje, Kama una evidence ya Mimi kumtaka mbuzi wako.- I pay you sister.
👉Uki shindwa kufanya hivyo, we Ni mbwa aliye katika ulimi tu.
👉Myda wa kutenganisha maji na mafuta.
Tayana-wog, National Anthem, Mjep, raraa reree, trudie, Kelsea. and 100 others, mshamba_hachekwi
Nilicho ona kuna michezo watu wanatengeza ( wanachonga mi message ) 😅😅😅.. alafu wanafanya kujaza ujinga..
 
Kama wame eddit hizo message, Mwachiluwi mbona sinaga nae story PM.. mie na huyo mbona ni mbingu na ardhi.. huwa sina time ya kudhalilisha mwanamke na hasa kama simfahamu.. mawasiliano na huyo dogo ni ya namha za mademu tu alinipa namba za mademu.. na nilipo jilizisha sio wakali nikapotezeaa..
sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujua
 
Back
Top Bottom