National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
Sasa mtaalamu Countrywide anasema mie nimeponda madada wa humu jf.. na wewe .. niambie nani na nani nili diss.. 😅😅😅.. Mbona kuna michezo ya kitoto sana humu ya kugombanisha.. nani niliongea nae habari zako humu.. mtaje nae tumvute hapaSikia mkuu kila siku mm nahusishwa na mambo ambayo siyajui mwazo wala kichwa mwazo nilikausha maisha yaendelee nikaonekana bwege mjing leo kibao kimenigeukia mimi sawa
Mwazo niliambiwa wewe unasema mm nishawai kukuambia kuwa natoka na huyo dem tena yeye ndio ananipenda na kunihonga juu nikakausha sikutaka kumtafuta mtu si kwamba nilikuwa sina uwezo wa kumtafuta mtu na kumuuliza nilikausha kimya nikawa peac nikafanya kama hakuna kilichotokea mimi sina story na wewe kuhusu madem wa humu nilipo omba ushahid wa izo sms kuwa najitapa mimi natoka na huyo dem ziko wapi sikupewa mpaka leo
Haya naomba na izo text nilizosema hapa hayo mnayo nishtumu