Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
County,plz wewe si wa mambo haya,wewe si wa kujibishana na watu....plz jilindie heshima Kamanda....hujui tu ila nikiyaona haya Naumia japo napuuzia Ili usije ona naingilia njia yako.Please...acha rafiki yangu(sijui kama bado ni rafiki)....ikiwezekana hizi jukwaa usiingie pleaseSijui kama umenielewa vizuri, hakuna sehemu nimesema umemtaka, au umeniundia kikao.
Nilichosema mbona kipo wazi hapo? Soma tena

