raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Hamna selfika mbona watu wote walikuwa wastaarabu tu kugombana hakuzuiliki btw nilikuwa nataka kuwatag wote sema niliona uvivu tuu 😄Ume watag wastaarabu tu 🤒, 💪
Hamna selfika mbona watu wote walikuwa wastaarabu tu kugombana hakuzuiliki btw nilikuwa nataka kuwatag wote sema niliona uvivu tuu 😄Ume watag wastaarabu tu 🤒, 💪
Anza kutupia mapicha picha wewee 📸📸📸 😄Kumbe kule selfika ya zamani kulikua na timu?? Ila binadamu mna mahangaiko..yani timu na mtu msiejuana hata unyayo...
Ngoja nijipangeee ...mi nikitupia sionekani tena wiki...Anza kutupia mapicha picha wewee 📸📸📸 😄
Uachiee tuuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nina mpdf niuachie hapa???
🤣🤣🤣🙌 KumekuchaNina mpdf niuachie hapa???
vipi tayanamshamba_hachekwi Carasco Putin 🤣🤣🤣haya njooni
Nalo neno 🤣Jf haitokuja kutulia,ni suala la muda tu![]()
Shwariiivipi tayana
Jirani kwemaJiraniii