Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 6,339
- 8,230
💪SawasawaNakubali mkuu💪, meza lazima ipindukee 💪🤒
💪SawasawaNakubali mkuu💪, meza lazima ipindukee 💪🤒
Mapambano tume yashindwa😂🤣, so Huku amani tu 😁Mapambano yanaendelea 😅😅😅
Mselfike kwa wingi😂😁, Kama Kaka Mjep 😁Asante nimekuja
Huku Kodi yetu ni amani tu😀😁, ili asifunge kufuli katika chumba 😁😀Kodi sh ngapi huko nyumba mpya 😌😄
Kumaanisha nini 😃🤔💪😁🙌🙌🙌🙌🙌
Ohoo uta haribu Uzi mapema😁😃kazi yangu moja tu, nakusanya selfies kimya kimya natengeneza album
Dah Kama una zijua zitaje😂😀🤣Mod aa account tatu.. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mbwa za mnyama au???, Ni hizo pipo za huko mambele😀😀Umbwa zina party ingine next week afu ni full house
Dah una onekana Kama alshabab🤣😀,15 to 20, I'm sorry if you feel that way
Dah😀😀😀🤣no need to apologize, dumbing down is an art in itself
Usikute una ishia 25 ila una jikuta 40 😀🤣😂am 15 to 60, I'm sorry you feel that way,
Hii mechi nimeishuhudia hadi ilipoisha, kwa kweli Vijana wameonesha ukomavu wa hali ya juu.
Nimefika Mkuu, kweli hii ni Nchi ya ahadi maana naona Maziwa na asali kwa wingi🤗
Nawazoom vijana mkiendelea na harakatiKumaanisha nini 😃🤔💪😁
Kuna nini hapa ngoja nipande juu...
Waka ishia kupigana vijembe na kudhalilishana, Uzi uka liwa kichwa😁.Kumbe kule selfika ya zamani kulikua na timu?? Ila binadamu mna mahangaiko..yani timu na mtu msiejuana hata unyayo...
Tupo Huku 🤒, baada ya Uzi pendwa kuliwa kichwa 😁😀Nawazoom vijana mkiendelea na harakati
Huku ni amani tu, kuheshimiana na kuthamini utu was mwingin.Nimefika Mkuu, kweli hii ni Nchi ya ahadi maana naona Maziwa na asali kwa wingi🤗