Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,314
I mean no malice to nobodyWewe mpashukuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I mean no malice to nobodyWewe mpashukuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thanks my sis, Nuzulati Ume ona hi🤗🙃Vile una positive vibes na kila mtu kaka yangu.... one among few cool dudes hapa JF....
🙄 Umeanza lini tena kukaa ghetto? Inamaana nyumbani umehama bila kunishirikisha!Ghetto tu nipo .
Mungu ni mwemaAll is well .
Nzuri naendelea vyema vipi wewe ?
Nalisubiria hilo swaliAntonnia samahani kuna swali naomba kuuliza, kama hutajali.
Ninaa karibia mwaka , sikai nyumbani .🙄 Umeanza lini tena kukaa ghetto? Inamaana nyumbani umehama bila kunishirikisha!
Amen loveMungu ni mwema
weka kapicha basi nimekumiss
Unaweza kusamehe kwenye mazingira yoyote?Nalisubiria hilo swali
Ndio!Unaweza kusamehe kwenye mazingira yoyote?
Unakaa mwenyewe au ndio lakushare kama la akina Carasco PutinNinaa karibia mwaka , sikai nyumbani .
Nishakuwa mzoefu sasa .
Niliona pia unachukua maelezo jinsi ya kutumia bamia[emoji1787][emoji1787]
Mwaka mgumu sana huu
Ehhh SI unajua ma jobless hatuna kwere[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji855].
Asante, nashukuru Mungu anazidi kutupa imani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bamia ya mchongo haipo kwenye kitabu cha makungwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ya asali hii ndo moto!! Si umeona anavyong’ang’aniwa na Miongozo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kapiga nyapu zote lkn bado anaiwaza ya Antonia tyuuu!!!
Siwezi kushare mie , napenda me time .Unakaa mwenyewe au ndio lakushare kama la akina Carasco Putin
Mi bado najaribu kusikiliza, huenda nikapata kitu.nshaisikiliza mara tatu, ilivotoka tu saa 8 usiku nilikua nayo
Mbona bado hujasamehe?Ndio!