Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
waje kufanya nini Tanzania washindwe kbsa hatuwataki DP WORLD TANZANIA JAMAN




waje kufanya nini Tanzania washindwe kbsa hatuwataki DP WORLD TANZANIA JAMAN




niambie mchuchu



! Uduguuu Insider alitupia episode 37 ndio nipi napitia hapaaa!




weka kapicha basi nimekumissUna kiranga wewe?!!
Unaquote comment niliyomjibu kaka ako ili tu akufurushe
Niliona pia unachukua maelezo jinsi ya kutumia bamiaJichekeshe!! Subiri nichukue ujuzi wa asali utanikoma!! Kaniambia atanipa ya Pipo kifua km nyongeza
![]()


Antonnia samahani kuna swali naomba kuuliza, kama hutajali.! Uduguuu Insider alitupia episode 37 ndio nipi napitia hapaaa!
Kawaida tu ..Lako ni la kipekee miaka 1000, wish ungekuwa karibu nipate kuliona.
Ehhh SI unajua ma jobless hatuna kwere😂🤣😂🤣🤒.Au sio?
I gat you babe's uko location gani saizi.Kawaida tu ..
Maisha yasitufanye tuwe na huzuni ,smiling is the best option .
Asante, nashukuru Mungu anazidi kutupa imani.Pole sana wifi, Mungu awatie nguvu kwa mnachopitia msiba unauma sana![]()
Selfika Niku oneshe gumba😁
UlizaAntonnia samahani kuna swali naomba kuuliza, kama hutajali.
Asante, amen rafiki yangu.Pole
Umefiwa na nani?
Bwana na awape faraja
Ghetto tu nipo .I gat you babe's uko location gani saizi.
Pole dearAsante, amen rafiki yangu.
I mean no malice to nobodyWewe mpashukuna![]()
Thanks my sis, Nuzulati Ume ona hi🤗🙃Vile una positive vibes na kila mtu kaka yangu.... one among few cool dudes hapa JF....