Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa side a vs side b,
👉 Uswahili vs ustaarabu 😁🤒.
kula maweee soooo nice... leo asubuhi nampeleka dogo shule naaulizwa mwizi anakuja lini 😅😅😅😅😅
Screenshot_20230825-112042.png
 
Hizo habari ulizosema majuzi za mimi kutembea na Graha humu je ni Kwamba unanipenda umeamua kunizushia tu ili unichafue humu au shida ninini hasa??? Mbona tulikua vizuri humu nini kilichokusibu mpaka kunikalia kooni hivi???
Kamuulizale Rabbitus kazitoalea wapi.. tatizo lako wewe una nishambulia mimie badala ya wanavumisha.. fungua PM nikupe mkeka wako sasa ili uelewe
 
Back
Top Bottom