National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
Jamani kesho nayo siku.. shemeji yenu anawasalimia
Sema mkinga wewe unayeongea Ni mzuri Sana unafaaa.Miongozo kajua kuisasambua mipidido ya jf afu cha ajabu mademu wanajisifia nyie?!!!!!
![]()
🤣🤣Simtaki kwa bure wala kwa kumnunua siwezi kuishi na kitu ninacho kiogopa 😬
Mi sitaki wanaume watulivu kiukweli 🥴🤭🤭 kabisa yaanNdio wifii nadhani utamtuliza 😁
Ujue nipo kibaha nimetulia we mzeeJamani kesho nayo siku.. shemeji yenu anawasalimiaView attachment 2727656
Shemeji yako anakupa Hi 😒😒😒😒Worry out chief😁. Niko stand by 🤒
View attachment 2727655
heka heka zangu ndio unazipendaa 😅😅😅 ivi mie huwa nakasirika kwani sweetMi sitaki wanaume watulivu kiukweli 🥴🤭🤭 kabisa yaan
Ndio km usiku wa balaa?? Siwapendi black mamba ndiomana siwafatilii hata![]()






ngoja wakusikie wenyewee.uduguuu emu lala, au kantri akupokonyee cm.









Aisee huyu itakuwa wa kutengenezwaYeeeh, thats the breed huwa na midomo hyo na wengi huwachanganya french buldogs na American bulldogs au american XL View attachment 2727654
Huyu ndo american bulldogs,, vere dangerous
🤣🤣🤣Leo Nimeona.... ulale salamaheka heka zangu ndio unazipendaa 😅😅😅 ivi mie huwa nakasirika kwani sweet
Kijiwe cha kuomba vocha
Bora mademu ila wanaume ndo mtihani ipo siku watapigwa pumbu nipo hapa udugu




siku hizi sio ajabu, wanasema ni fashiiooooon!!! Kwa sauti ya Deo wa NirvanaUnataka mapepe 😁😁Mi sitaki wanaume watulivu kiukweli 🥴🤭🤭 kabisa yaan
😅😅😅😅 leo alhamisi..!Ujue nipo kibaha nimetulia we mzee
Sitaki vayolensi
Fanya hivo aisee.Subiri hapo hapo
Sema mkinga wewe unayeongea Ni mzuri Sana unafaaa.
Haha wengine hawaongeagi
Wanasemaga tusilaumiane baadae







😒😒😒😒 unanichaje , nisubiri twende wotee🤣🤣🤣Leo Nimeona.... ulale salama
Yeah, kabisa 🤣🤣🤣Unataka mapepe 😁😁
Babu anakubaliwa na namba A tyuu ndiomana kisirani hakimuishi
Ajilie trip shamba trip sokoni, mwanamke wa baridi km panga lilolala nje![]()




nyokoooo wee, uduguuu kita kukuta kitu, wee hayaa tyuuh.