YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
uduguuu niwachee bhanaa wee.
Mbavu zinauma huku.
Babu mzee wa mipira iliopotea




Babu kwa kubeba mizoga yuko njema, yeye humwambii kitu na mikweche namba A
uduguuu niwachee bhanaa wee.
Mbavu zinauma huku.




🤣🤣🤣Mara mbili? Mbona ulishaniacha kitambo? 🤭 Zurura kwanza utarudiNakuacha😂😁🤒
ndio nisha kosa sasa😅😅🤣🤣So bad....very sad😔.....sa itakuwaje 🤭????
Nje ya mada hivi Mbwa aina hii ni kizazi gani jamanii mbona kama majini wanatisha kupita maelezo![]()
Mi nadhani hakuna binadamu asiyewezekana ukimjulia udhaifu wake😋Utamuweza huyo kaka yangu ana hasira akichukia 😁😁
Kwa sura hiyo ni mpole ajabu kwanza huo mdomo 🙆🏾♀️French bulldogs,, friendly sanaaa sio wakali wao na golden retriever au poodles tofauti ni sura tu ila tabia ni same
hatuitwi hivyo ni cheusi mangala![]()




Ndio wifii nadhani utamtuliza 😁Mi nadhani hakuna binadamu asiyewezekana ukimjulia udhaifu wake😋
Sio mbwa wazuri hao wana hasira sana.. disha zao zinayumba yumba sana.. lazima ujue saikolojia yao...maana hata mlishaji wake kuna mda wana msahahu.. wanampa mambo 😅😅Simtaki kwa bure wala kwa kumnunua siwezi kuishi na kitu ninacho kiogopa 😬
Embu tuone kwanza hizo nywele zenyewe mchuchu
hamtupendi ila mnapenda nanilii zetu😂Ndio km usiku wa balaa?? Siwapendi black mamba ndiomana siwafatilii hata![]()
Africa wapo kweli au ni huko kwenye haki za wanyama 🤨Sio mbwa wazuri hao wana hasira sana.. disha zao zinayumba yumba sana.. lazima ujue saikolojia yao...maana hata mlishaji wake kuna mda wana msahahu.. wanampa mambo 😅😅
uduguuu kijiwe pendwaa hiki, acha watu wafurahii bhanaa




Worry out chief😁. Niko stand by 🤒
Kwa sura hiyo ni mpole ajabu kwanza huo mdomo![]()
hamtupendi ila mnapenda nanilii zetu![]()
Sawa😂🤣🤣🤣🤣🤣Mara mbili? Mbona ulishaniacha kitambo? 🤭 Zurura kwanza utarudi
wapo wengi tu, watu wamefuga hata kwa baby wangu wana hayo madubwashaaa 😅😅😅😅 na mie nina baby jamaniAfrica wapo kweli au ni huko kwenye haki za wanyama 🤨
Ndo una taka uni fanyie hivyo😂🤣Kaangalie nyimbo ya Mbosso ile ya NIMEPOTEA.
Babu mzee wa mipira iliopotea
Babu kwa kubeba mizoga yuko njema, yeye humwambii kitu na mikweche namba A





uduguuu emu lala, au kantri akupokonyee cm.