Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤭wee, sema kweli? Nenda nasi taratibu....usiwe mkali....usikwazane na mtu.... wanawake tunatunza sana maneno moyoni....ni ngumu kumkubalia mtu ambaye kashawahi ninenea mabaya .......Afu punguza au acha kuingia selfika .....ingia hata habari mchanganyiko kule..... mwanaume hupaswi kujibishana na mwanamke hadharani.....nimeshtuka kidogo ila nikahisi huenda umeshindwa vumilia....usiingie huku selfika National Anthem ....plzzz
🙁🙁🙁 nichukue basi.. najiuza bei cheee.. kweli hata leo ndio nina type mwisho mwisho.. nashusha viwango vyangu sanaa.. leo nimeku sweet wangu 🥰🥰🥰
 
🙁🙁🙁 nichukue basi.. najiuza bei cheee.. kweli hata leo ndio nina type mwisho mwisho.. nashusha viwango vyangu sanaa.. leo nimeku sweet wangu 🥰🥰🥰
That's it my man👊.....wanaokufahamu watashangaa kuona kumbe nawe wajibishana,walumbana,wakwaza watu.please majukwaa yapo mengi.... jitahidi sana🙏🙏🙏
 
That's it my man👊.....wanaokufahamu watashangaa kuona kumbe nawe wajibishana,walumbana,wakwaza watu.please majukwaa yapo mengi.... jitahidi sana🙏🙏🙏
🙈🙈🙈🙈🙈... dah! 🥰🥰🥰 usinitoe nyota basi siiingi tena humu.. acha nianze shinda jukwaani kwangu kwenye Tech, Garage, Internaarion na ID yangu.. leo kweli nimetoa bokoo.. nakuja unibembeleze hata nilale 😘😘😘😘.. nakupenda sweetwangu... aione Intelligent businessman
 
🙈🙈🙈🙈🙈... dah! 🥰🥰🥰 usinitoe nyota basi siiingi tena humu.. acha nianze shinda jukwaani kwangu kwenye Tech, Garage, Internaarion na ID yangu.. leo kweli nimetoa bokoo.. nakuja unibembeleze hata nilale 😘😘😘😘.. nakupenda sweetwangu... aione Intelligent businessman
Kafie river malagalasi😂
 
Back
Top Bottom