Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa najiuliza nilianzishe na Konyagi,Belaire,Marques de Negra au nikalView attachment 1278555e mmea niachane na haya masumu.

Mkuu hapo naanza na konyagi kwanza kisha mmea
IMG_0007.JPG
 
Naomba mchanganyiko wake hapo juu nami nataka niipike best
Kidari cha kuku,kitunguu maji,garlic&ginger paste ,hoho na karoti unaweza kuongeza mboga mboga zingine,pia kuna sauce yake ya kulia ambayo unablend mayonnaise,juice ya chungwa,pili pili manga ,tangawizi,garlic vya ya unga,ketchup vipimo utakadiria kulingana na wingi wa sauce yako ila mayonnaise ndo ingredient kuu ya sauce hiyo
 
Kidari cha kuku,kitunguu maji,garlic&ginger paste ,hoho na karoti unaweza kuongeza mboga mboga zingine,pia kuna sauce yake ya kulia ambayo unablend mayonnaise,juice ya chungwa,pili pili manga ,tangawizi,garlic vya ya unga,ketchup vipimo utakadiria kulingana na wingi wa sauce yako ila mayonnaise ndo ingredient kuu ya sauce hiyo
Shukrani jibini ile nyeupe una mwagia kwa juu pia
 
Back
Top Bottom