Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Sanaa...
Tatizo kuna watu wanalichukulia serious sana.
Tatizo kuna watu wanalichukulia serious sana.
Tatizo vijana wengi hawavijui vitu vitamu kama hivi mkuu, na ukisha ijua status yake... Basi ni rahisi kumkula pasipo any kind of transmission deseases.Hahah we jamaa
Mimi ni tinted yani.Nehiiiii!
Kabisa mpwa. Vyoo vingine vinahitaji yale mahesabu yetu ya permutation and combination...Hewalaaa mpwa, ukongwe unasaidia




Hahaha Mkuu hayo machumachuma nayapenda sana kushinda hata baadhi ya wanadamu,hapo mwingereza alijipanga vizuri.Nilikuwa mbali sana.View attachment 1278495
Tatizo vijana wengi hawavijui vitu vitamu kama hivi mkuu, na ukisha ijua status yake... Basi ni rahisi kumkula pasipo any kind of transmission deseases.
Abu ngoja nianze kumkimbilia wanae mkimbia
Kabisa mpwa. Vyoo vingine vinahitaji yale mahesabu yetu ya permutation and combination...
View attachment 1278515
Mkuu, ebu naomba upande huu mniachie tafadhali....Dah! Mtoto mzuri weyeEmbu fanya kunikaribisha pm kwako basi kama mbwai iwe mbwai tu barida
Nilitumia cheddar pizza zote nilizopost
Naomba kipande cha pizza basi...
By the way umetumia mozzarella au cheddar, naona kama ni mozzarella hivi
Next time weka mozzarella, cheddar weka kwa mbaliiiii...Nilitumia cheddar pizza zote nilizopost
..Hahaha Mkuu hayo machumachuma nayapenda sana kushinda hata baadhi ya wanadamu,hapo mwingereza alijipanga vizuri.
Kama hili ni balaa tupu...Hahaha Mkuu hayo machumachuma nayapenda sana kushinda hata baadhi ya wanadamu,hapo mwingereza alijipanga vizuri.
Ndio muanze kuniombe sasa...tehKila la kheri mkuu, ukifanikiwa ubakie huko huko hatutaki sredi hapa za mirejesho...![]()

Yeah huwa na mix pia,lakin sio mpenzi sana wa mozzarellaNext time weka mozzarella, cheddar weka kwa mbaliiiii...
Hapana zangu mwenyeweBiashara ama?