Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Za Nairobi ziko wapi?Ohh...hata sijaenda huko! Nikienda ntakuletea ubuyu!
Akigundua atafanya kwa hasira!
Tushamwambia Anza kupika mapema ili umalize kwa wakati
Anapika shwaa
Nyama unakuta mbichi
Haandai mapema,anapika chakula kibichi kisa tv ambayo kutwa nzima anashinda kuangalia.
Sasa sasahivi kifurushi atakisikia redioni.



