Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ohh...hata sijaenda huko! Nikienda ntakuletea ubuyu!


Akigundua atafanya kwa hasira!
Za Nairobi ziko wapi?


Tushamwambia Anza kupika mapema ili umalize kwa wakati
Anapika shwaa
Nyama unakuta mbichi
Haandai mapema,anapika chakula kibichi kisa tv ambayo kutwa nzima anashinda kuangalia.

Sasa sasahivi kifurushi atakisikia redioni.
 
Za Nairobi ziko wapi?


Tushamwambia Anza kupika mapema ili umalize kwa wakati
Anapika shwaa
Nyama unakuta mbichi
Haandai mapema,anapika chakula kibichi kisa tv ambayo kutwa nzima anashinda kuangalia.

Sasa sasahivi kifurushi atakisikia redioni.
Nna za Mlimani tu!🙂

Ila anazingua....hata kama ndio anachanganyikiwa na TV, si angekua anachemsha vitu vyake taratibu huku anaendelea kuburudika.😬
 
Back
Top Bottom