Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔

Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja umia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
Ushauri mzuri Mkuu.

Kutengeneza scheme za umwagiliaji kunahitaji fedha nyingi kidogo.

Kule kwenye korosho hatuhitaji maji mengi, kwahiyo mvua za wastani zinatosha, muhimu matumizi ya Viutalifu.

Kule kwenye miwa Kilombero, tunahitaji maji ya wastani, hasa unapoanza kulima kwa mara ya kwanza. Kule nimefunga pampu hivyo napata maji kadri ya mahitaji.

Kule Mbarali tunatumia scheme za umwagiliaji, ambazo tunapata maji kadri ya zamu tulivyojiwekea.

Ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, ni muhimu u-invest kwenye kilimo chenye tija.

Karibu shambani Mkuu
 
Darlin karibu ticha😊
1000111245.jpg
 
Back
Top Bottom