Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Asante jirani, nitakaribia soonKaribu kwetu jirani
Asante jirani, nitakaribia soonKaribu kwetu jirani
Itapitia na huku kwetu ukitoka kwa jirani yakoAsante jirani, nitakaribia soon
Nashukuru Mungu sote tuko salama mnywani!hope unaendelea vizuri mnywani.
Ushauri mzuri Mkuu.Hebu acha uwekezaji was kamari we mzee, mpaka Leo una depend Kwenye kitu usicho kuwa na uhakika Kita kuwepo???🤔.
👉 Chimba hata kisima, andaa hata mfumo- uvune hayo maji ya mvua.
👉Mvua Ni nzuri, ila Hauwezi kui limit or balance??- maji yakizidi katika mazao uta fanyaje🤔
Halafu kilimo Cha umwagiliaji, kina kupa uwanja mpana wa kuinhia mzigoni muda wowote. Grahams
👉 Endelea ku bahatisha Kama uja umia ka National Anthem aliye itegemea mbususu ya kiarabu🤣😂😂 aka Baki ana Lia Lia🤣😂😂😂
Nitumie nauliItapitia na huku kwetu ukitoka kwa jirani yako
Nauli utakula labda nimuombe Kibungo akupe😅😅🏃🏃🏃Nitumie nauli
Unga wa ngano....?Huo unga wa miguuni ni wa nini
Ufanye kurudia basi!😕
Mwanafunzi una supp tayari😂Darlin karibu ticha😊View attachment 2725912
Poleni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unanionea ticha, bia moja kwa siku haina shida😊Mwanafunzi una supp tayari😂
Unakunywa asubuhi yote hii, huogopi
😂😂😂😂Unanionea ticha, bia moja kwa siku haina shida😊
Ndio unakandika vizuri kwa chapati!🙂😀😀 kwa nini miguuni na si mkononi?
Khaaa abs ticha basi sipost tena pic😅😂😂😂😂
Naona unataka na abscond kabisa, maana ya kwanza itazaa ya pili mpaka utoke hapo uko chakari
Usijali, post ili niwe na ushahidi kabisa😂Khaaa abs ticha basi sipost tena pic😅
🥺Usijali, post ili niwe na ushahidi kabisa😂
Usijesema nimekuonea na supp yako
Dr Lizzy😁😁😁😊
Tuanze na mafenesi kwanza...ila kwasababu hamjanimiss mimi, narudi nilikotoka!!!View attachment 2725928