๐ ๐ ๐ ๐ utanipa majina ya unaotaka waje, nipitishe lokooo.. ili nijue yupi waku mkata na yupi ale mpungaaa.. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nakuwa kama mjumbe.. huyu kata huyu acha..
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ utaenda kutununulia itakuwaje wageni waje alafu walale njaaa... ila siku ile kwanini hukuniambia nipo.... tule hata soda hadi asubuhiii.. nitakutumia picha uone kama ni wewe au sioo.. uone nguvu ya mafile
๐๐ Hauuwepo ulikuwa na storyzako tu ila nilishtuka kutaja sehemu niliyokuwa nipo muda huo nikawa nageuka Kwa pause๐๐๐nisije kuta mambo shwaa kumbe ilikuwa story tu nikaendelea na yangu๐๐
๐๐ Hauuwepo ulikuwa na storyzako tu ila nilishtuka kutaja sehemu niliyokuwa nipo muda huo nikawa nageuka Kwa pause๐๐๐nisije kuta mambo shwaa kumbe ilikuwa story tu nikaendelea na yangu๐๐