Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23] ninajua
 
Ilete hapa nisinzie vizuri mchuchu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigambonIlee
 

Ko wewe unataka kwanza wakuvuruge wengine hasira umalizie kwa wengine?? Hii kali huoni km ni dhambi?? Hapa tunakanyana huo unaoleta wewe ugomvi!!!
Kwanza ushapima?? Mana kwenye ile list kuna magonjwa sugu yapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hujui [emoji1787][emoji1787][emoji38]
Na namba nishafuta najua utazitaka
Uliniambia sema ilikua tayari late, ulishafuta chats na kumpiga block. But ningejua kabla angeisoma namba, ilikua ni kumnyaka haraka sana
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Mambo haya nimewaachia, kuna wapuuzi wengi humu wasio weza ku reason. Ukija mahakani nakutupa dk ya 0.. nina screenshot za kutosha ( folder zima ). Ukicheza na fisi unaonekana na wewe fisi ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ