kwenye hayo mambo yake ya kusave picha za watu, kusema watu sihusiki, ila nilikua najua amachokifanya
sema nimeshaongea nae, hatowasumbua tena.... labda aje na id nyingine
👏🏻👏🏻👏🏻Ni jambo jemaTutarudi Misri ngoja twende kanaani nimezika bifu ss hivi kila mtu nacheka naye km zamani kabla jini mkata kamba hajapita
Na mwachiluwii pia,
duh, tuendelee kuishi😂Unakumbuka kuna siku nilikwambia mna kikundi chenu cha kijinga??? Najua wewe muelewa na una adabu japo unamgomea maza kwenda church ila mdogo angu acha makando kando
Boraa umchanee ukwelii, tena makavu live km hiviii. Woiiiiiii
Haya nahuku ulimtoa out? Eh hayaMimi jobless Sina hela ya kumtoa Lenie out😂🤣
Hicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,Unakumbuka kuna siku nilikwambia mna kikundi chenu cha kijinga??? Najua wewe muelewa na una adabu japo unamgomea maza kwenda church ila mdogo angu acha makando kando
Huyo leo kasema anatumia Pepsi kushusha presha
Nimemuonea huruma kweli mpk nimempotezea asije kujinyonga bure nikabeba msalaba wake
Uduguuu usimaliziee hapaaa, maliziaaa kulee wallah, natakaa kuupata huu ubuyu ukiwa vyediii.Udugu Amani Amani itawale
Tuungane na maaskofu tuirudishe bandari
Me humu naingia kufurahi ili nipoteze wenge la marejesho ya bank km mtu anaona navuka mipaka ya utani na kiburudisho chake aje tuyajenge, mbona me muelewa afu nakanyika bado mwali wa kizamani
Basi dadaako wakati naingia humu nakuta id za kiume zinatoa ma connection na deals zile za pesa ndefu, nikasema nilichelewa waapi?? Kumbe wanaume wenye pesa wako huku jamani mtaani wamejaa viposongo tu sura za NIPIGE TAFU nyingiii!!! Basi nikaanza kulike kwa wingi id moja ya member mmoja ya kitajiri
Hata aki-comment pumba me namwaga like najua hapa pesa ipongoja nilewe vzr nije nikumalizie kilichotokea
Hicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,
nilicheka, nkamuambia had mpange siku, mje hata sahivi, kuna mwingne akawa anamstua wee unaharibu mchongoo,
Nilicheka ile siku, eti wa kunifurumua mie, ndo hawa watu? Nashangaa had leo kimyaa. Afu wenzao wawili siwaoni humu ndaniii. Lol
Uduguuu usimaliziee hapaaa, maliziaaa kulee wallah, natakaa kuupata huu ubuyu ukiwa vyediii.
Shida we ni ka saliti🤣😂😂, SI nili kuambia Jana🤔🤣😂Hapana nisihusike kwa hili🙇🏼♀️
Ukajua una piga, kumbe Ume yatimba🤣😂😂😂Udugu Amani Amani itawale
Tuungane na maaskofu tuirudishe bandari
Me humu naingia kufurahi ili nipoteze wenge la marejesho ya bank km mtu anaona navuka mipaka ya utani na kiburudisho chake aje tuyajenge, mbona me muelewa afu nakanyika bado mwali wa kizamani
Basi dadaako wakati naingia humu nakuta id za kiume zinatoa ma connection na deals zile za pesa ndefu, nikasema nilichelewa waapi?? Kumbe wanaume wenye pesa wako huku jamani mtaani wamejaa viposongo tu sura za NIPIGE TAFU nyingiii!!! Basi nikaanza kulike kwa wingi id moja ya member mmoja ya kitajiri
Hata aki-comment pumba me namwaga like najua hapa pesa ipongoja nilewe vzr nije nikumalizie kilichotokea
I mean no malice to nobodyUduguuu usimaliziee hapaaa, maliziaaa kulee wallah, natakaa kuupata huu ubuyu ukiwa vyediii.
Ndio hao wanaume kama mabinti? Niwekee list yao hapa wote, siku nikitoka nimevurugwa nakuja kumalizia stress kwaoHicho kikundi chao, yuko yeye, mwachi, na wengjneo, kuna mwenzao m1 alikujaga humu selfika kunambia, wamepanga siku kunifurumua,
nilicheka, nkamuambia had mpange siku, mje hata sahivi, kuna mwingne akawa anamstua wee unaharibu mchongoo,
Nilicheka ile siku, eti wa kunifurumua mie, ndo hawa watu? Nashangaa had leo kimyaa. Afu wenzao wawili siwaoni humu ndaniii. Lol
Ukajua una piga, kumbe Ume yatimba
🤣😂😂🤔,Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho
Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha
Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!!Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
Kipenseli ana id nyingi huyo kuna moja iko piem imejiongelesha wee me naichora tu!! Anavyoniona humu jukwaani najizima data anajua na piem atanikuta hivyo, msg moja tyr nishajua huyu Y2K sijui kaja na id nyingine kunisumbua tu!
Afu kiliacha namba zake za simu, ningekua mafia ningempa Kantri wamalizane lkn hata Kantri mwenyewe hajui km hata namba ninazo!! Nachukulia ile ki sister Marry wengine bado tuna utu na utulivu
Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigambonIlee