Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakika Mkuu, wamenikosea sana Babu yao
Wee babu Afu mbona habari zako kukuhusu humu zipo nyingi sana ujue naona wameamua kutuchafua sisi tu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!

Sema Nakuheshimu sana babu yangu najua panapo wazee hakukosekani busara!!
Barikiwa sana babuu yetruuuu๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!

cocastic shougaaangu unapitwaaa hukuu sitaki kusutwa mimi njoo ujionee majengeakaaa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ!
 
Na huyo me ndo namtaka sana kwann yeye ajizibe?? Hapa huyo Penseli ilitakiwa aje alete walivyoanzana lazima kuna vitu naye alichangia


Lakini inawezekanaje penseli awajue watu wote na back ground zao had kina shunnie ilo haliwezekani nae kunakitu nyuma yake kilimpa story zote za watu yeye friji lake hajigandishi kayamwaga
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ