Hujacheka vzr nakwambia ni shida humu!! Nimeshangaa mpk ss hivi ile sura ya mwanamke kweli au alikimbia kupachikwa dyudyu kabla hajakauka wakati wa uumbaji??
😅😅😅 mbona nawakopa wengi sana na hakuna anae chomoa mzee.. naongeaga kama yule Carlos wa kwenye movie.. so naonekana wa maaana.. kuna wengine wananipea .. sema nini uwe mtu wao.. hata siku kama huna michakato ya kupiga unawanunulia msosi au kilaji.. mbona utafaidi
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta
Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia