Nilipewa hela ya jezi hapa na Mjep
Nilidhani anatania
Sasa nikaja kushukuru.
Ndo eti wanasema tunadate,kanipa hadi hela ya jezi🤣🤣
Ndo nikawa nasema hapa sijawazuia mimi kushabikia Liverpool chama la Dunia.
Tajiri yangu Mjep jana nimemuomba 70k kanitoa na kasema anidai nimeongezea na hela alio nipa National Anthem ya soda 45k nataka nikanunue zuria jeupe la manyoya GSM MALL kazana na wrwe kuomba
Humu jf domo zege Ni nyingi Sana. Hii ya kuibukia vivuli ndio only option.
Na Hawa dada zangu nahisi some of them Ni rejected huko kitaa na hii ndio only option yao ya kujitutumua. Maninah maana kila siku wanapigania madudu ya madomo zege ya jf.
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi
Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
Nilipewa hela ya jezi hapa na Mjep
Nilidhani anatania
Sasa nikaja kushukuru.
Ndo eti wanasema tunadate,kanipa hadi hela ya jezi🤣🤣
Ndo nikawa nasema hapa sijawazuia mimi kushabikia Liverpool chama la Dunia.
Hujacheka vzr nakwambia ni shida humu!! Nimeshangaa mpk ss hivi ile sura ya mwanamke kweli au alikimbia kupachikwa dyudyu kabla hajakauka wakati wa uumbaji??