Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma 😁😁
pole dear ex 😬😬😬
 
Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma

umeona?? Me nakwambia humu kuna watu wana stress sio bure

Eti single mama unatafuta huruma nyie khaaaaaa!!!
 
Elewa neno KIFINYIO 🤣🤣🤣🤣
pole chief kumbe watu wana wivu namna hii
Mimi pia na vivocha vyangu nimekua victim 😁
Nibalaa
wangejuaga.. mie hata kifanyio sina..

wakati wanatahili wakakikata chote.. hapa napiga tu makelele masaa yaende.. ila watu kumbe wanaona nipo serious 😅😅
 
Elewa neno KIFINYIO 🤣🤣🤣🤣
pole chief kumbe watu wana wivu namna hii
Mimi pia na vivocha vyangu nimekua victim 😁
Nibalaa
😅😅😅 Pole sana chief.. ila tuishi nao mkuu.. hizo watu ni small mind ndio maana zakaa zinatengeza movie.. mie hayo matusi sijawai hata fanya nashangaa mkeka huo niliopita naoo.. ingekuwa kweli mbona ningevimbam.. inabidi usitishe msaada wa vocha
 
Back
Top Bottom