YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
achana nae.umeshindwa kukutongoza kweli?Itakua si umeona![]()
achana nae.umeshindwa kukutongoza kweli?


ila wewe mgeni mbona sikufahamu jamani eti intelli anasema we Penselinoo.mimi nawajua wote humu ila hakuna anae nijua.niko humu tokea 2010 walasina ugeni wowote.ila wewe mgeni mbona sikufahamu jamani eti intelli anasema we Penseli
Ila nimecheka
Nyie kumbe mna haki kunidis km sura zenyewe ndo hizo za SONGESHA![]()
bado?


noo.mimi nawajua wote humu ila hakuna anae nijua.niko humu tokea 2010 walasina ugeni wowote.




Yap huaga nikibadirisha simu nasahau password naamua kujiunga upyatuu.au nikipigwa ban nasajili I'd mpya.Hii I’d mpya? Mana unavyotuchambua sasa![]()
Nahisi wewe ni mmoja tu na una ID mbili wewe ni Mwachiluwi👉Una jua Nime kumbuka cbe(campus ya mwanza) miaka ile.
Kulikuwa na proffesor mmoja ana itwa kimambo(one among the dudes who lives, what he teaches)
Professor kimambo alikuwa ana fundisha commerce, so one day...
👉 Ali wahi sema chakula cha mtu mzima, hapewi mtoto.
bado?
![]()



AiseeAiseeeee!! Ni huzuni nimetumiwa pic na mtu anayenidis NIMECHOKAAA
Kwanza nisikitike in babe voice
Mdada kanyata woiihii
Umekula?Nahisi wewe ni mmoja tu na una ID mbili wewe ni Mwachiluwi
Yap huaga nikibadirisha simu nasahau password naamua kujiunga upyatuu.au nikipigwa ban nasajili I'd mpya.




tu bless basi 😌😌Unalo leo![]()
tu bless basi![]()



nipe moyaaa tu ya kulalia.. leo nalala mapema 😊😊Kwa nilivyochafukwa subiri nina trip moja matata sana nitamwaga maselfie humu mpk wenye uchungu wazae watoto njiti![]()