Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,311
- 108,352
Hahaha...ni kama umeparamia mtu vileHazielewekagi hizi mkuu....
Hahaha...ni kama umeparamia mtu vileHazielewekagi hizi mkuu....
Siku nikiwa tayari mkwe utanitajia jiografia yako nitafute kwa atlasi nyuzi za latitudi na longitudi
Mkwe njoo tu unione jamani, wewe siwezi kukukimbia.
Mbona sasa tushatoa. lakini sasa mtoto yupo singo na mkwe yupo singo....hehehe
Hebu hamieni Kenya fasta kabla hatujaja beba mkwe![]()







Khaaaah!! Hizo sijapokea kabisaaaa. Mbebeni mlomkabidhi.Mkwe na zilikuja na vitenge begi zima ile ya kuvuta





AiiiiiSiku nikiwa tayari mkwe utanitajia jiografia yako nitafute kwa atlasi nyuzi za latitudi na longitudi
Leo uko na kazi ya kukana tuuKhaaaah!! Hizo sijapokea kabisaaaa. Mbebeni mlomkabidhi.
![]()
Kwani umewahi kuwajua? Huoni uko singo![]()











Heheh hiyo ndio pona yenu walahi...
Mkikatiza tu mpaka kurudi tu tuna ninyi
Na vile mahari haina kodi mweeh, hatuna hata mahali pa kuwasemea






Sawa mkwe.Siku nikiwa tayari mkwe utanitajia jiografia yako nitafute kwa atlasi nyuzi za latitudi na longitudi
Hahah lugha ya fiziko jiografiAiiiii
Kwani hiyo lugha ni ganii
, mkwe huyo ndio kanifundishaMbele ya kubebwa akuuuu, nawakana wooote.Leo uko na kazi ya kukana tuu
Ooohhh kumbe jamanii!!Hahah lugha ya fiziko jiografi, mkwe huyo ndio kanifundisha
Na leo ni Sunday hakianakimbia kivuli chake mwenyewe
Hahah na tutaja na vigoma vya singeli vile, nitakodi wale wamama wavaa sare za madela...Mbele ya kubebwa akuuuu, nawakana wooote.
Hata mimi siwajui.
Jamani, daaaahhh!!!
Naomba unitambulishe plizii