Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,333
Oooh angalau kiduchu unaniamini. Ndio hivyo mkwe ila siaminiki sijui kwaniniKiduchuuuuu



Oooh angalau kiduchu unaniamini. Ndio hivyo mkwe ila siaminiki sijui kwaniniKiduchuuuuu



HallelujahHutafukuzwa kwa utetezi wa baba paroko
Kalumanzila umelwwa ubwabwa? Maana naona unatoa tu majicho.
Umepokea za wangapi eti jamani
Si nilikwambia sipokei tena maana mtanitoa roho bureee na hela za kuwalipa sina.
Ndo nini eti jamani
Hahah si tunatoa tu...
Si nilikwambia sipokei tena maana mtanitoa roho bureee na hela za kuwalipa sina.




Hadi sasa7Umepokea za wangapi eti jamani
Nani yupo sahihi sasaOoohhh
Itakuja na baruaHallelujah
Nitumie basi hiyo iPhone hata niipige picha nikurudishie jamani


Nimekuzomea ki HalloweenNdo nini eti jamani

Hahah yaani ikitokea siku nakutia machoni mkwe, naweza nikabaki nakushangaa kama mtoto akipewa zawadi ya toyOooh angalau kiduchu unaniamini. Ndio hivyo mkwe ila siaminiki sijui kwanini![]()
Hahah si tunatoa tu...
Na tusipopata tunabeba mkwe![]()













Kwanini sasa ushangae mkweHahah yaani ikitokea siku nakutia machoni mkwe, naweza nikabaki nakushangaa kama mtoto akipewa zawadi ya toy



Na kanisani hujakwenda?Sunday....View attachment 1278178

Mbona sasa tushatoa. lakini sasa mtoto yupo singo na mkwe yupo singo....hehehe
Yewoooomi, bakini nazo tuuu wapendwa. Mumbebe tuu mwenye alisababisha mtoe.
![]()



