sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hiyo ni korogwe au....Pale saa hivi fujo sana chimbo langu ni babloni![]()
Hiyo ni korogwe au....Pale saa hivi fujo sana chimbo langu ni babloni![]()
Hahah nakusubiri hapa KajiadoMie shahamia
![]()
Na ugali wao ule utadhani mabumunda ulivyo mgumuYeah...! Kenya wanauza ugali bei yake na mboga bei yake.
Huko sikujiiii.Hahah nakusubiri hapa Kajiado
Hamia Kenya mkuu, utakula ugali, sukuma na matumbo hadi ukimbie...
Na wale watu huwa hawajui kupima nyama, wanajazaaa











KabisaaaYeah...! Kenya wanauza ugali bei yake na mboga bei yake.
Imetoshaaa akiiiHahah nakusubiri hapa Kajiado

Sukuma ikiungwa poa ni tamu sana.
Shindwaaaa!Basi Kisumu, nakuja na ferry toka Musoma![]()
Hiyo hapo.Oya punguzeni ngenga tupieni mapicha basi
Na ugali wao ule utadhani mabumunda ulivyo mgumu




Hiyo hapo.
Oya punguzeni ngenga tupieni mapicha basi
Marahabaaa!Hivi kwanini lakini eti??
Unaenda wapi eti dada
Tubariki na moja basi