Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Nawahi usingizi kabla haujagomaLala, mtu mzima hatishiwi nyauu🤒
Nawahi usingizi kabla haujagomaLala, mtu mzima hatishiwi nyauu🤒
Mm sijui englshGentlemen listen,
If u are dating a lady, who only encourages you to spend money and never makes mention of saving and investing. If her only vocabulary is whats for the weekend, whats for Valentines? Whats for what and what.
In addition, if she never mentions or encourages you to open a savings account, or buy a plot or start up a business. My friend, dump that daughter of jezebel b4 she leads you into poverty. 🤒
mshamba_hachekwi, National Anthem, Mzee wa kupambania, Mwachiluwi, Mjep, raraa reree,
Safiii 👍
I mean no malice to nobody 🤒Unajua kuna wakati simuelewi, mara aseme yupo single akija huku anajibebisha.
jali tu afya yako, piga tizi, kula vizuri😂 hutozeeka vibayaMm nataka umri wako tunafanyaje?
Mi mwenyewe sijui, maana nine andika Nikiwa nime lewa🤣😂😂😂Mm sijui englsh
Mbona mi Niko 22 na SI lalamiki🤣😂🤒Mm nataka umri wako tunafanyaje?
Dah dogo una ogopa umri wako??, Kisa uonekane mdogo😁😂Ww nawe usinizeeshe kiasi iko
Mm sipendi kuona maandish yake kabisaMi mwenyewe sijui, maana nine andika Nikiwa nime lewa🤣😂😂😂
Huyo ni weweMbona mi Niko 22 na SI lalamiki🤣😂🤒
Sasa we wa miaka 26 una lalamika nini 🤣😂😂Huyo ni wewe
Una pepo chafuu🤣🤣😂😂🤣Mm sipendi kuona maandish yake kabisa
Pacha kunani Tena, kumbe Kuna kypendana Humu
![]()


Humu kuna viumbe vya ajabu aiseee!!! Watu hawatulii wanawashwa muda wote kuzama piem kupeleka umbea khaaaaaa!!!!Mama Nai bado upoo??? 🤠🤠🤠😁😁!!
Daah kwanini wasiende kwa mshamba_hachekwi 🤣😂😂Nimekasirika hivi mtu unatoa wapi ujasiri wa kuchukua pic isiyokuhusu afu unamtumia piem mtu asiyekuhusu ili iwe nini?? Watu maku vibuyu kabisa!!!!
Sasa km anamtaka Kantri ndio ajitongozeshe kwa pic yangu?? Si atume sura lake au hajiamini kimeo!!! Woiiiih
Mata ko juu juu km vigoma vya wanga mbio piem ya mwanaume km sio kutafuta KUTATULIWA nini??
Umbea mtupu🤣🤒😂Mama Nai bado upoo??? 🤠🤠🤠😁😁!!
Nilikua sijazima data ndo nataka nizime hapaaaa🤠🤠🤠🤠😂😂😂!!