Nishafikaaa uduguuu, nambie yoteee, usifichee hata kidogoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa shem ila usije sema simu ilikuwa kwangu kivuruge wako akifika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Semaa kweliii!!Kivuruge hana shida
Nammudu[emoji16]
Ueye na mkewe maisha yao ninya utaoeli kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu hii chaii, khaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha kitu aiseee!!
Maza mdogo muabeshi, sasa alikuwa na bwanaake mfipa. Basi bana kuna mashosti zake wakawa wanatafuta mganga wana mambo yao uko makazini kwao.
Maza si kapiga simu kaweka loudspeaker eeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si nikasikia sauti ya bamdogo eti kapandisha majini kwenye simu anasema wale wadada mwaka haushi wanafukuzwa kazini wajitahidi wamuachie pesa mamdogo ya kununua vifaa vya kazi ili aje kuwafanyia kazi yao. Basi bamdogo anawaaga kwa kifipa aiseee!!!! Nilishindwa kuvumilia nilichekaaaaa mamdogo akakata simu faster alinikata jicho hilo la mwana ukome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toka hapo siwaamini wafipa na nikimuona bamdogo nakauka kucheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tulizana, ukifanywa hiyo jojoro isisimamee, ndo akili itakukaa sawaa.Uwiiiii..[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Umetokea wapi tena a wewe?
Na huo ulozi wa kingoni nitakoma wallah
Nisamehe sweetheart Cute Wife ndo kaniponza
Naomba nikuoigieaseeKungekuwa na voice note humu nikusimulie visa vyao mana nimechoka kutype
Mbna anamtaka babee wangu tenaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]Bi mkubwa anataka kunisusia mume anaaga mashindano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu sikuweziii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unamsemea mwenzio? Uko kwenye moyo wake???
Nishafikaaa uduguuu, nambie yoteee, usifichee hata kidogoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu hii chaii, khaaah
Naona njia nyingine zote inataka kushindikana, ngoja nijaribu hii[emoji848]Hivi uko serious? Umelileta had huku? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nikuoigieasee
Mbna anamtaka babee wangu tenaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hana shida nampanga anaelewa vzr tuUnipigie kwa ruhusa ya nani?? CW ana taarifa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachotaka iPhone 14 iwe mezani palee ASAP[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] ASAP beiibey
Hamna namna shem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Km kawaida yako lawama nabeba me.