YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Shida ni mpare anaijua pesa kama BOT
Kwangu ataitoa tu na upare wake




Shida ni mpare anaijua pesa kama BOT




Miss u too babe😘I’m good babe
Mekumisss![]()
Sasa una maana gani kusema ivyo shem unazingua sana utapigika mzee hapo aachwi mtuAhaaa utaharibu kijana. Huyo ndio babe wangu
Ahahaha 😂Kwangu ataitoa tu na upare wake![]()
N
na ukumbuke uku cw anekufukuza ila utak kutoka unatafuta ugomvi ase




Soon atatokea hatajwi yule!! Ana mizimu mikali ya kwao inampa taarifa zangu akija utapambana naye me simooo



Akiniacha nitajinyonga hapa selfika😁Sasa una maana gani kusema ivyo shem unazingua sana utapigika mzee hapo aachwi mtu
Mimi nitamjibu short sijakuita uku 😂Soon atatokea hatajwi yule!! Ana mizimu mikali ya kwao inampa taarifa zangu akija utapambana naye me simooo
![]()
Jionyonge tuone kwaza fanya demoAkiniacha nitajinyonga hapa selfika😁
Ili niwaachie babe wangu kijana acha masihara😄Jionyonge tuone kwaza fanya demo
Shem kama shemBaadae utasema nilishika simu yako
Nimemshawish mpaka kakubali sasa fanya ujinga akasilike tenaUnajitahidi khaaaaaa!!
Nisifanye makosa![]()
Selfika mkuuMjep vip voda na airtel zimeisha au tuendelee kusubiri 😂😂
Hapanaaaaaa mpende asione mwingine kwenye hii duniaIli niwaachie babe wangu kijana acha masihara😄
We hakikisha tu unamfurahisha asinikumbuke![]()



Nipo juu ya anga naroga mvua isinyesheSelfika mkuu
Mzigo unapanda muda wowote
Umemaliza kila kitu babe![]()




Mimi nitamjibu short sijakuita uku![]()



Sasa si atakua kichaa mtoto wa mamamkweBaki bana mwenzio napenda competition
Ukimpa style hii na me nakuja na kali kukuzidi mpk mume achanganyikiwe
