Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie ndio ulidhani wa kumwekea huyo pichaa??? Thubutruuuuuuu labda aikute tu kwa bahati mbaya!
Antonnia wewe uliweka ili watu waone, hofu ya kutotaka mimi nisione ni ipi? Mm sio mtu nastahili kuona picha yako? Una hofu na maoni nitayotoa? Vipi nikiona upo vizuri?

Anyway yaishe, leo siku nzuri mno kwa ofisi
 
Antonnia wewe uliweka ili watu waone, hofu ya kutotaka mimi nisione ni ipi? Mm sio mtu nastahili kuona picha yako? Una hofu na maoni nitayotoa? Vipi nikiona upo vizuri?

Anyway yaishe, leo siku nzuri mno kwa ofisi
Kichwa yako unaijua mwenyewe wewe hata cute nishamwambiaga nakuogopa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 !!!

Wala sina uzuri hata chembe trust me sifa za selfika ni za kinafiki!
Sie humu tunasifiana hata sifa ambazo hatuna!
That's us wanaselfika na ndio tushazizoea wenyewe tunaishi humohumo kwenye unafiki!
 
Safi
Haya Kantri selfika, au nitume ya pamoja??
Ukweli mambo ya selfika yapo kidada dada zaidi, na pia ni mambo ambayo yanayotokana na feelings za mtu kwa muda huo.

Mm hayo si mambo yangu kabisa, huku kwenyewe wewe ndio umenileta. Japo soon ntaacha kuingia huku, naona sio mikato yangu kabisa.

Huku inabidi uwe mnafki sana, yaani white useme ni black na black useme ni white.
 
Kichwa yako unaijua mwenyewe wewe hata cute nishamwambiaga nakuogopa !!!

Wala sina uzuri hata chembe trust me sifa za selfika ni za kinafiki!
Sie humu tunasifiana hata sifa ambazo hatuna!
That's us wanaselfika na ndio tushazizoea wenyewe tunsishi humohumo kwenye unafiki!
Sawa nimekuelewa japo umenifanya nitamani zaidi kukuona upoje. Nikiangalia hii hofu uliyonayo na hizo sifa nilizoona huenda kweli kuna unafki humu.

But uwe na amani maisha haya tupo watu tofauti tofauti. Muhimu kuvumiliana
 
Sawa nimekuelewa japo umenifanya nitamani zaidi kukuona upoje. Nikiangalia hii hofu uliyonayo na hizo sifa nilizoona huenda kweli kuna unafki humu.

But uwe na amani maisha haya tupo watu tofauti tofauti. Muhimu kuvumiliana
Ona unavojichetua as if kweli Hujawahi kuniona sasa hahahaaa!
 
Ona unavojichetua as if kweli Hujawahi kuniona sasa hahahaaa!
Nimekuona wapi? Huku kwenye ukiingia unakuta comments zaidi ya 500. Nitaweza kusoma zote kweli? Pili sipo interested sana na mapicha picha, labda itokee nimekutana nayo tu.
 
Back
Top Bottom