YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,169
- 36,262
Nimeona, you are not beautiful
Sio yeye hata usijichoshe sema huyo kafanana na shem wako mmoja hivi
Nimeona, you are not beautiful
mke mwenzanguu yupiiii?we mbona umetuma picha ya mke mwenzie coca
haigomii, Dr naekuletea ni fundi haswaa.
kaa kwa password, mpe salamu Bantu Lady muambie nime mmic mnooo.!
Nacheka kama mazuri vilee shoss angu!!
mke mwenzanguu yupiiii?
Wee uduguuu coca hana mwenza humu 1 2 na 3 niyeyee weeee!! !Boss kubwa pale hachomokiiii auweeeeehhh🤣🤣🤣🤣🤣😊!!we mbona umetuma picha ya mke mwenzie coca
muache brooh wangu.Sichelewi kuanzisha ambushi nikamchoma na mikasi yake
Yule shem wake Kantri
Ongezaaaa sautiiiiiiiiii.Wee uduguuu coca hana mwenza humu 1 2 na 3 niyeyee weeee!! !Boss kubwa pale hachomokiiii auweeeeehhh!!
nipo nimekaa palee.
Wee uduguuu coca hana mwenza humu 1 2 na 3 niyeyee weeee!! !Boss kubwa pale hachomokiiii auweeeeehhh!!
chitakiiiiiii
Bantu Lady ametingwa kidogo uduguuu hekaheka za selfika ashastaafuu kitrambooo!! Humu anatokea mara moja moja tu!!kaa kwa password, mpe salamu Bantu Lady muambie nime mmic mnooo.
Kuna siku nilimuambia kitu humu ndani, nadhani atakua kajionea.
Wewe mzee mbea sana wewe au umelewa م😅na Mwachiluwi eeh
Nasemaaaajeeeeee Coca hana Hanaaaa mpinzaniiiii🤣🤣🤣🤣😁!Humjui wewe?
Nasemaaaajeeeeee Coca hana Hanaaaa mpinzaniiiii!
Mrare unonooo wapendwa Kesho nayo siku!!!
Ukweli mambo ya selfika yapo kidada dada zaidi, na pia ni mambo ambayo yanayotokana na feelings za mtu kwa muda huo.
Mm hayo si mambo yangu kabisa, huku kwenyewe wewe ndio umenileta. Japo soon ntaacha kuingia huku, naona sio mikato yangu kabisa.
Huku inabidi uwe mnafki sana, yaani white useme ni black na black useme ni white.