Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nije lini hapa unipe utambulisho??

Inni hajambo??
Hapa sikuhizi kuna hekaheka miambiliiii kidogoo Sumbai mi mwenyewe kila leo wengine naona wapyaa tyuuuu . Ini itakua Alibadili username banaa haonekani kabisa humu!
 
Hapa sikuhizi kuna hekaheka miambiliiii kidogoo Sumbai mi mwenyewe kila leo wengine naona wapyaa tyuuuu . Ini itakua Alibadili username banaa haonekani kabisa humu!
Okay.. hujambo lakini. Happy to see you.
 
Hawa Watoto wa siku hizi wana matatizo sana [emoji16][emoji16]
20230807_220621.jpg
 
Mate yanavyokutoka sasa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sijaona hiyo picha naona sifa tu. Aweke nitoe marks, uzuri nina jicho kali sana hasa linapokuja suala la kujua pisi kali na pisi mbovu. Alafu kuwa pisi mbovu wala sio dhambi

NB: anivumilie kwa maoni nitayotoa, napendelea kuwa muwazi zaidi
 
Wala sijaona hiyo picha naona sifa tu. Aweke nitoe marks, uzuri nina jicho kali sana hasa linapokuja suala la kujua pisi kali na pisi mbovu. Alafu kuwa pisi mbovu wala sio dhambi

NB: anivumilie kwa maoni nitayotoa, napendelea kuwa muwazi zaidi

Antonia usiweke katumwa huyu
 
Back
Top Bottom