Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,079
- 95,693
Sio vizuri ujue🤔🤔🤒, hebu selfike
Sio vizuri ujue🤔🤔🤒, hebu selfike
Sio vizuri ujue🤔🤔🤒, hebu selfike
Vp ushaondoka jimboni🤣Milinium tower mzee
poleeee kwa kutesekaaa,
Relaaaaaaxxxxxxxx!!!
tumeyamaliza kwa sasaHuyo mumeo hana mpyaa kwangu, nilimsuuza hadi akawa analia kwa modes, niondewe JF mazimaaa.
apambane na size yakee, nimeshavuka hizo levelll.
Mpe salamuu.

coca kama coca, haya bana.Udugu hiyo vunja kazi nyie watu mna mishape khaaaaaa!!! Nitafute pesa niende tu Turkey nikafanye yangu

Hiyo shape iwekwe basi hapa na sie tutoe marks, tuone kama yaliyomo yamo.Udugu hiyo vunja kazi nyie watu mna mishape khaaaaaa!!! Nitafute pesa niende tu Turkey nikafanye yangu
Uduguu uko tayariiii??Fanya hivo nina mambo mengi kuzaa bado kwanza![]()





Nataka mzungu nipate shombe shombe hapa nipo naye nataka unisaidie nimwambie “Ukifa huozi” sasa nashindwa![]()






Hii movie nzuri saana.
Nije lini hapa unipe utambulisho??Muwe na jioni njema wapendwaaa!! Kesho nayo sikuu!!
Mzungu au mpopo aliye jichubuaa??Ahsante udugu soon nitawaaga jf
Nitakuwa nashinda TikTok na mzungu wangu tukibebishana![]()






Hapa sikuhizi kuna hekaheka miambiliiii kidogoo Sumbai mi mwenyewe kila leo wengine naona wapyaa tyuuuu . Ini itakua Alibadili username banaa haonekani kabisa humu!Nije lini hapa unipe utambulisho??
Inni hajambo??
Wa kuolewa utakuwa wee?Naacha naanza kuwa binti mwema niolewe nikamtunze mume![]()




