Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tenaa mpe salamuuuu,
Mama mwenye nyumba hana wasi wasi, baba atazungukaa kutwaa nzimaa, usiku atarudi ndanii.

cheti cha ndoa ninachoo, kinaswampaa tyuuh kabatini.

teeeeeenaa mama mijengo wenye waume zetu, maua umemsikia bi mkubwa
 
Yes , nasema ukweli ila mtoto mzuri aisee kawaka huyo manager amemnunulia gari fulani majuzi tu na bado mwenzako akaitwa na mwanadada hao kwake wakapiga za kwao hadi asubuhi kaachwa kwa demu hadi alipoamka ndio manaa siku hizi mbili alikuwa hayupo alikuwa anatafuna kitumbua toto gugu hajakuambia
😒😂😂😂 ana hali mbaya muonee huruma
 
Raha ni matunzo sio kutangazwa halafu unaachwa na njaa . Nisikilize mie mbona mie nimekusikiliza uliponitonya nisikie na mie

Haya nakusikiliza ila me kuibiwa baaaadooo sana, labda Kantri nimchoke mwenyewe niwatupie
 
CC53C49A-DE0A-461F-A8AD-0B981BC162F6.jpeg
 
Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
hapo sasa, unatolewa out kwa siri na unatambaaa?? Km kwelii wee ni mjanja weka wazi umma ujue.

Raha ya mahusiano kuwa wazi, ndugu, marafiki na wakwe wakujueeeeee.
Mnatolewa out mchana, usiku mnaachwa jamaa anarudi ndani kwa mkewee wanapanga mipango ya keshooo.

nchedangeee muje taratibuuuu, cheti cha ndoa ninachooo mie.
 
Back
Top Bottom