Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
Raha ni matunzo sio kutangazwa halafu unaachwa na njaa . Nisikilize mie mbona mie nimekusikiliza uliponitonya nisikie na mie
 
Tenaa mpe salamuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama mwenye nyumba hana wasi wasi, baba atazungukaa kutwaa nzimaa, usiku atarudi ndanii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheti cha ndoa ninachoo, kinaswampaa tyuuh kabatini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teeeeeenaa mama mijengo wenye waume zetu, maua umemsikia bi mkubwa
 
Yes , nasema ukweli ila mtoto mzuri aisee kawaka huyo manager amemnunulia gari fulani majuzi tu na bado mwenzako akaitwa na mwanadada hao kwake wakapiga za kwao hadi asubuhi kaachwa kwa demu hadi alipoamka ndio manaa siku hizi mbili alikuwa hayupo alikuwa anatafuna kitumbua toto gugu hajakuambia
😒😂😂😂 ana hali mbaya muonee huruma
 
Raha ni matunzo sio kutangazwa halafu unaachwa na njaa . Nisikilize mie mbona mie nimekusikiliza uliponitonya nisikie na mie

Haya nakusikiliza ila me kuibiwa baaaadooo sana, labda Kantri nimchoke mwenyewe niwatupie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
Shem umeanza mambo yako
 
CC53C49A-DE0A-461F-A8AD-0B981BC162F6.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa, unatolewa out kwa siri na unatambaaa?? Km kwelii wee ni mjanja weka wazi umma ujue.

Raha ya mahusiano kuwa wazi, ndugu, marafiki na wakwe wakujueeeeee.
Mnatolewa out mchana, usiku mnaachwa jamaa anarudi ndani kwa mkewee wanapanga mipango ya keshooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nchedangeee muje taratibuuuu, cheti cha ndoa ninachooo mie.
 
Haya nakusikiliza ila me kuibiwa baaaadooo sana, labda Kantri nimchoke mwenyewe niwatupie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio huyo best nani kasema huyo mie akikuacha na mpa vidonge nanina mfungia ndani nakupa ufunguo
 
Back
Top Bottom