Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Akuuu kuna demu namchukia ila nikipona nitamchamba ila kwa sasa wewe noma hadi picha ninayo hivi yule alikuwa mhindi eh kuchi kuchi umeonekana ukiwa kwao masaki unalalia vitanda vya gharama
😜😜😜 acha basi kunikumbusha. tumeachana miaka 2 sasa... yule mwarabu bana

Alafu unajua kudekeza . unaweza nivunjia ndoa zangu wewe mtoto
 
😂😂😂 kumbe ndio zake
Yes , nasema ukweli ila mtoto mzuri aisee kawaka huyo manager amemnunulia gari fulani majuzi tu na bado mwenzako akaitwa na mwanadada hao kwake wakapiga za kwao hadi asubuhi kaachwa kwa demu hadi alipoamka ndio manaa siku hizi mbili alikuwa hayupo alikuwa anatafuna kitumbua toto gugu hajakuambia
 
Na mimi niite dear leo.Toka nizaliwe sijawahi kuitwa namtu aisee.
We baby wako huyu hapa 😂🤣🤒
FB_IMG_16854885764003555.jpg
 
Hakuna kuna mpya mpya ndio ilienda tanga na dada ake ndio maana nilitaka kukupa huo umbeya saivi mtalia sana mwanamke ananyonga kiuno kama mhindi . Yaani mwaka huu mtaibiwa sio huyo tu wotree humu.

Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
 
Sisi kuibiwa bado sana, kwanza wanaume wenyewe wanawaficha km bhangi!!

Raha ya mume akutangaze hadharani, sio kufichwa fichwa km vuzi la mk****nd
Raha ni matunzo sio kutangazwa halafu unaachwa na njaa . Nisikilize mie mbona mie nimekusikiliza uliponitonya nisikie na mie
 
Back
Top Bottom