Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

uduguuu emu kwan muulize Mjep siku ya kwanza kunionaa, alivyo chachawaaa.

Anasema mrangi wa kondoa sehemu ipii, namjibu mie mngoni wa Songea, acha aduwaeee.
Yaani nilichanganyikiwaa
Mtoto whiteeeee
Haachwi mtu hapa
 
Shem kapewe yotreee tu 😂😂😂😂
Hakuna kuna mpya mpya ndio ilienda tanga na dada ake ndio maana nilitaka kukupa huo umbeya saivi mtalia sana mwanamke ananyonga kiuno kama mhindi . Yaani mwaka huu mtaibiwa sio huyo tu wotree humu.
 
Back
Top Bottom