Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udugu kuwa makini naona unaibiwa mchana kweupeeee nakushauri wahi kwa babu ukarenew limbwata tajiri wa jf tutamkosa tuteseke, si unakumbuka mpk wizo kasema anamtafuta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemaa ntaua mtu, tangu niijue JF mwanaume aliyenipataa ni Mjep tyuuh.

Huyu ni wangu milele, Ex zake habari wanayooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Udugu kuwa makini naona unaibiwa mchana kweupeeee nakushauri wahi kwa babu ukarenew limbwata tajiri wa jf tutamkosa tuteseke, si unakumbuka mpk wizo kasema anamtafuta 😂😂😂😂
😂🤣🤣🤣na bado mlinichamba sasa anaondoka tu penda msipende
 
Ya Mancity hupati wallah[emoji1787][emoji1787]
Utashabikiaje tibu la hajabu hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatakaa kuachwa vibayaa wee.
Sasa nishabikie team za stress?? Sitakiiii baki mwenyewee hukoo
 
Udugu kuwa makini naona unaibiwa mchana kweupeeee nakushauri wahi kwa babu ukarenew limbwata tajiri wa jf tutamkosa tuteseke, si unakumbuka mpk wizo kasema anamtafuta 😂😂😂😂
Haibiwi mtu hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemaa ntaua mtu, tangu niijue JF mwanaume aliyenipataa ni Mjep tyuuh.

Huyu ni wangu milele, Ex zake habari wanayooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Teeeeeeeeena ndo wale weusi km chungu cha dawa cha mganga 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom