Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Eh nipo serious usimweke karibu bora uweke wengineAhahaha simuite tena maua asante kwakunistua
Eh nipo serious usimweke karibu bora uweke wengineAhahaha simuite tena maua asante kwakunistua
Sawa bestEh nipo serious usimweke karibu bora uweke wengine
Hapo kazi sana kwa maana ni alikuwa huku ila sijawahi mshika ID yake ni mtu anayechart sana na watu ila huyu demu ndio anamkwanja sio jamaaKumbe ule umbea ndo huu? 😂😂😂
Mwenye mimba nishamjua haya nipe jina la aliyetiwa mimba sasa
Usicheke mwenzako anakampani nzito mshiko kakupita kiasi na anajua kushawishi shauri yakoSawa best
Sijajikausha shemNakuombea jersey afu shem Mjep kajikausha hajanijibu wala nini?!! 😂😂😂😂
Iko wapi sasa?
😂😂😂 hii chaiHapo kazi sana kwa maana ni alikuwa huku ila sijawahi mshika ID yake ni mtu anayechart sana na watu ila huyu demu ndio anamkwanja sio jamaa
Poleee weeMxxiewwww![]()
😂😂😂😂 uongo!!!! We sema unataka kumbania udugu wangu hiyo jerseySijajikausha shem
Si unajua tarehe zenyewe hizi mbovu
Sisi walimu hali yetu mbaya tarehe hizi shem



ana like tyuuh comments, huenda kashaniacha najuajee sasa, siku hizi mtuu unaachwa na taarifa hupewiiHapana shem😂😂😂😂 uongo!!!! We sema unataka kumbania udugu wangu hiyo jersey
Hatuachaniiiiiana like tyuuh comments, huenda kashaniacha najuajee sasa, siku hizi mtuu unaachwa na taarifa hupewii
Sijajikausha shem
Si unajua tarehe zenyewe hizi mbovu
Sisi walimu hali yetu mbaya tarehe hizi shem




muongoo mkubwa wee,Jiandae jersey ya Simba na man city.Hatuachaniiiii
Hakuna kuachana hapa
Udugu kuwa makini naona unaibiwa mchana kweupeeee nakushauri wahi kwa babu ukarenew limbwata tajiri wa jf tutamkosa tuteseke, si unakumbuka mpk wizo kasema anamtafuta 😂😂😂😂ana like tyuuh comments, huenda kashaniacha najuajee sasa, siku hizi mtuu unaachwa na taarifa hupewii
Mimi tena?
Ebu selfika kwanza
Umemisika hapa



wee si uko hapa pembenii, hebu vua boksa kwan, nikulambee njugu hizo.Ya Mancity hupati wallah🤣🤣Jiandae jersey ya Simba na man city.
Afu zawadi ya ushindi wa Ngao ya jamii.
Ntakukumbusha mwsho wa mwezi.
Sasa kuna umbeya wa intelligent business, yule chibonge wa kaka wa bandari muzee kashapiga na amekuwa anapewa michongo na yule demu kavitara kake kamerekebishwa kwa hela za yule mzee wa bandari.😂😂😂 hii chai