Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakupenda best yangu ila sura mbaya kama maziwa ya mgando , umekomaa kama grili za taifa za umeme

Hivi maua kwann unaniringia na huo ubuyu wako? Mpk mimba yangu itoke ndo ufurahi?
Emu lete hiyo habari ya aliyepigwa mimba na huyo jamaa ake nakusubiri

Acha kunifanya mmbea niteseke bas shosti
 
Nazungumza nikiwa serious na kumotivate wengine, wewe unaweka utani.

Hivi unazani watakuamini?? Humu wananijua km me mmbea mwenzao au unataka kuwa motivate tuwe wambea?? Emu babe tulia au ushaanza kulewa??
 
una shepu mbaya kama kitunguu maji
Asa mie sitanianagi nawewe ila kama unataka unapua mbaya kama pilipili za mchawi, unakitambi kama cha kipepe, mweusi kama umepigwa shoti ya umeme , mshamba hadi unapigia mswaki omo, unatumia air fresher kama deodorant, siku ya kwanza kutumia choo ulipofulashi ukapungia uchafu ulionao nakusema bye ukakimbia, tv ulivyojifunza kuwasha kila mtu unampungia nakumjibu mpaka taarifa ya habari , unajipaka mafuta aina yablue band unadhani ndio lotion yakiume , ukiwa barabarani unataka kuvuka unaenda unarudi unaenda unarudi mpaka trafic alikupiga mabao akakuvusha barabara . Unakula cowbell ukizani ni freshner ya mdomo , sura yako imekunjamana kama koti la babu mzee.
 
Back
Top Bottom