Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asa mie sitanianagi nawewe ila kama unataka unapua mbaya kama pilipili za mchawi, unakitambi kama cha kipepe, mweusi kama umepigwa shoti ya umeme , mshamba hadi unapigia mswaki omo, unatumia air fresher kama deodorant, siku ya kwanza kutumia choo ulipofulashi ukapungia uchafu ulionao nakusema bye ukakimbia, tv ulivyojifunza kuwasha kila mtu unampungia nakumjibu mpaka taarifa ya habari , unajipaka mafuta aina yablue band unadhani ndio lotion yakiume , ukiwa barabarani unataka kuvuka unaenda unarudi unaenda unarudi mpaka trafic alikupiga mabao akakuvusha barabara . Unakula cowbell ukizani ni freshner ya mdomo , sura yako imekunjamana kama koti la babu mzee.

 
Asa mie sitanianagi nawewe ila kama unataka unapua mbaya kama pilipili za mchawi, unakitambi kama cha kipepe, mweusi kama umepigwa shoti ya umeme , mshamba hadi unapigia mswaki omo, unatumia air fresher kama deodorant, siku ya kwanza kutumia choo ulipofulashi ukapungia uchafu ulionao nakusema bye ukakimbia, tv ulivyojifunza kuwasha kila mtu unampungia nakumjibu mpaka taarifa ya habari , unajipaka mafuta aina yablue band unadhani ndio lotion yakiume , ukiwa barabarani unataka kuvuka unaenda unarudi unaenda unarudi mpaka trafic alikupiga mabao akakuvusha barabara . Unakula cowbell ukizani ni freshner ya mdomo , sura yako imekunjamana kama koti la babu mzee.
Best diss track to mshamba_hachekwi 🤣😂🤣😂
 
una sura mbaya kama ukuta
Wewe ni mshamba mpaka ulivyoambiwa fanta orange hatuna hapa ukaanza kulia kama mtoto, unakumbuka juzi ulinunua condom ukizani ni puto, wewe mshamba ulinunua bia ukizani pepsi ulivyokunywa ukalewa ukaanza kulia mwenyewe sindo ukapanda lile gari la wasanii ukaenda nao katavi ukaachwa mbugani eti nimeenda kusalimia nduguzangu isingekuwa tanapa saivi ungekuwa imeenda hiyo
 
Hivi maua kwann unaniringia na huo ubuyu wako? Mpk mimba yangu itoke ndo ufurahi?
Emu lete hiyo habari ya aliyepigwa mimba na huyo jamaa ake nakusubiri

Acha kunifanya mmbea niteseke bas shosti
Da maua Ana kisirani tangu juzi
Au Ana mimbaaaa 😆
 
Back
Top Bottom