Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ushauliza?!?? Ngoja niangalie juu sijapata notification ya swali
Hili hapa:

Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.

Ni kweli unamtuma? Ni nani kwako?
Unaonanaje haya matusi mazito anayoporomosha akisema wewe ndio unamtuma?

Uwezo wa kumkabili mpaka mwisho upo, hofu isije ikawa nakukwaza huko maana nakua kama na-abort your mission(Kama kweli umemtuma)
 
Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.

Ni kweli unamtuma? Ni nani kwako?
Unaonanaje haya matusi mazito anayoporomosha akisema wewe ndio unamtuma?

Uwezo wa kumkabili mpaka mwisho upo, hofu isije ikawa nakukwaza huko maana nakua kama na-abort your mission(Kama kweli umemtuma)
Hapana sijawahi mtuma Penseli 4 kwanza nimetingwa balaa sikuhizi naanzaje kupoteza muda kuhangaika na jf??
Nimtume kwa nani???

Kwa kipi hasa cha maana mpaka nihangaike nawatu humu????? Halafu nipate nini???? Sihusiki na Penseli 4 hata chembe!
 
Na hiyo sauti ya mdee uliyonayo wataogopa sana, wanajikuta tu kura zote za ndio

Acha basi
Ngoja nikuchekeshe, mimi siwapendi CCM afu sister anagombea CCM sasa kuna kituo ndio kina kura nyingi lazima awekwe mtu wa karibu wa mgombea ili asaidie kumuhesabia hizo kura.
Na mtu wa haraka haraka ni mimi cute, ataanzaje kuniweka na mimi kila siku nasema CCM watoke

Aliumiza kichwa haijatokea na mimi ndo nakazia CCM hawapiti hapa. (………) sister anazidi kunimind ilikuwa kivumbi

Siku namkubalia naenda haamini km nitaangalia kwa umakini kura zake, yaani nilicheka ile siku mpk kapita na nikamwambia bahati yako wananchi wa lile eneo wanakupenda kweli, lasivyo hata wangetaka kuchakachua nisingekubali
 
Hili hapa:

Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.

Ni kweli unamtuma? Ni nani kwako?
Unaonanaje haya matusi mazito anayoporomosha akisema wewe ndio unamtuma?

Uwezo wa kumkabili mpaka mwisho upo, hofu isije ikawa nakukwaza huko maana nakua kama na-abort your mission(Kama kweli umemtuma)
Sihusiki nahayo matusi na wala sina sababu ya kumtuma mtu kwani namuogopa nani humu mpaka nipitie kwakwe????
 
Hapana sijawahi mtuma Penseli 4 kwanza nimetingwa balaa sikuhizi naanzaje kupoteza muda kuhangaika na jf??
Nimtume kwa nani???

Kwa kipi hasa cha maana mpaka nihangaike nawatu humu????? Halafu nipate nini???? Sihusiki na Penseli 4 hata chembe!
Okay, penseli LGBT kwa hiyo sasa kwa akili zako mwenyewe umeamua kujituma na kutukana kila aina ya tusi. Basi tupo tayari kupambana nawe

Penseli 4 tukutane baadae
 
Acha basi
Ngoja nikuchekeshe, mimi siwapendi CCM afu sister anagombea CCM sasa kuna kituo ndio kina kura nyingi lazima awekwe mtu wa karibu wa mgombea ili asaidie kumuhesabia hizo kura.
Na mtu wa haraka haraka ni mimi cute, ataanzaje kuniweka na mimi kila siku nasema CCM watoke

Aliumiza kichwa haijatokea na mimi ndo nakazia CCM hawapiti hapa. (………) sister anazidi kunimind ilikuwa kivumbi

Siku namkubalia naenda haamini km nitaangalia kwa umakini kura zake, yaani nilicheka ile siku mpk kapita na nikamwambia bahati yako wananchi wa lile eneo wanakupenda kweli, lasivyo hata wangetaka kuchakachua nisingekubali
Nitakufundisha uipende ccm, usisikilize propaganda za wajinga wachache. Nchi hii bila ccm tungeyumba sana, tungekua hovyo kuliko burundi
 
CCM mnaboa hamjui tu
CCM ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine, ni familia Kama zilivyo familia zingine. Kwenye familia kukiwa na mtoto mmoja mwizi mdokozi linakua kosa la familia nzima?

Ni taasisi, mfano mchungaji au askofu akibaka kanisa lote katoliki linakua limebaka? Au sheikh akibaka ni waislamu wote wanakua wamebaka?
 
CCM ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine, ni familia Kama zilivyo familia zingine. Kwenye familia kukiwa na mtoto mmoja mwizi mdokozi linakua kosa la familia nzima?

Ni taasisi, mfano mchungaji au askofu akibaka kanisa lote katoliki linakua limebaka? Au sheikh akibaka ni waislamu wote wanakua wamebaka?

Tatizo CCM wote wezi
 
Achana nayo, tufikirie mambo ya msingi afu huku selfika nitakutoa maana me ndo nilikuleta
Huu ukweli, hata nilikua sijui kama kuna selfika na sikuwa interested na hayo makitu.

Ulinivuta huku wewe, japo naona kumejaa villagers and teenagers. ukiona mtu vitu anajisifia navyo unabaki na mshangao tu
 
Back
Top Bottom