Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Ushauliza?!?? Ngoja niangalie juu sijapata notification ya swaliMajibu antonnia???
Ushauliza?!?? Ngoja niangalie juu sijapata notification ya swaliMajibu antonnia???
Hongera sana mnywanyi she is lovely enhe
Msiniache kwenye hiyo novena na mimi nimo
Santrooo sana cousin!!Kazuriiii
Nilikuwa nahangaika kuvaa miwani yangu ya macho nikakuta umeshafuta 🙆♂️
Thank you mamy !!Hongera sana mnywanyi she is lovely enhe 🥰
Hili hapa:Ushauliza?!?? Ngoja niangalie juu sijapata notification ya swali
Hata sijaona jamaniThank you mamy !!
Hapana sijawahi mtuma Penseli 4 kwanza nimetingwa balaa sikuhizi naanzaje kupoteza muda kuhangaika na jf??Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.
Ni kweli unamtuma? Ni nani kwako?
Unaonanaje haya matusi mazito anayoporomosha akisema wewe ndio unamtuma?
Uwezo wa kumkabili mpaka mwisho upo, hofu isije ikawa nakukwaza huko maana nakua kama na-abort your mission(Kama kweli umemtuma)
Na hiyo sauti ya mdee uliyonayo wataogopa sana, wanajikuta tu kura zote za ndio














Sihusiki nahayo matusi na wala sina sababu ya kumtuma mtu kwani namuogopa nani humu mpaka nipitie kwakwe????Hili hapa:
Hapo juu penseli lgbt nimeona anasema wewe ndio unamtuma kutukana, hatukani mtu tu bali hadi wazazi wa huyo mtu.
Ni kweli unamtuma? Ni nani kwako?
Unaonanaje haya matusi mazito anayoporomosha akisema wewe ndio unamtuma?
Uwezo wa kumkabili mpaka mwisho upo, hofu isije ikawa nakukwaza huko maana nakua kama na-abort your mission(Kama kweli umemtuma)
Okay, penseli LGBT kwa hiyo sasa kwa akili zako mwenyewe umeamua kujituma na kutukana kila aina ya tusi. Basi tupo tayari kupambana naweHapana sijawahi mtuma Penseli 4 kwanza nimetingwa balaa sikuhizi naanzaje kupoteza muda kuhangaika na jf??
Nimtume kwa nani???
Kwa kipi hasa cha maana mpaka nihangaike nawatu humu????? Halafu nipate nini???? Sihusiki na Penseli 4 hata chembe!
Nitakufundisha uipende ccm, usisikilize propaganda za wajinga wachache. Nchi hii bila ccm tungeyumba sana, tungekua hovyo kuliko burundiAcha basi
Ngoja nikuchekeshe, mimi siwapendi CCM afu sister anagombea CCM sasa kuna kituo ndio kina kura nyingi lazima awekwe mtu wa karibu wa mgombea ili asaidie kumuhesabia hizo kura.
Na mtu wa haraka haraka ni mimi cute, ataanzaje kuniweka na mimi kila siku nasema CCM watoke
Aliumiza kichwa haijatokea na mimi ndo nakazia CCM hawapiti hapa. (………) sister anazidi kunimind ilikuwa kivumbi
Siku namkubalia naenda haamini km nitaangalia kwa umakini kura zake, yaani nilicheka ile siku mpk kapita na nikamwambia bahati yako wananchi wa lile eneo wanakupenda kweli, lasivyo hata wangetaka kuchakachua nisingekubali![]()
Asante babuu watoto ni baraka acha tufyatuee tuijaze dunia kama baibo ilivoagiza!!Ooh .......Hongereni sana na Mkwe wangu mjeshi
Nitakufundisha uipende ccm, usisikilize propaganda za wajinga wachache. Nchi hii bila ccm tungeyumba sana, tungekua hovyo kuliko burundi
Okay, penseli LGBT kwa hiyo sasa kwa akili zako mwenyewe umeamua kujituma na kutukana kila aina ya tusi. Basi tupo tayari kupambana nawe
Penseli 4 tukutane baadae
CCM ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine, ni familia Kama zilivyo familia zingine. Kwenye familia kukiwa na mtoto mmoja mwizi mdokozi linakua kosa la familia nzima?CCM mnaboa hamjui tu
CCM ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine, ni familia Kama zilivyo familia zingine. Kwenye familia kukiwa na mtoto mmoja mwizi mdokozi linakua kosa la familia nzima?
Ni taasisi, mfano mchungaji au askofu akibaka kanisa lote katoliki linakua limebaka? Au sheikh akibaka ni waislamu wote wanakua wamebaka?



Unazuga uko kwenye usingizi mzito unamuacha baba yake na yeye iwe zamu kubembeleza.😘😘😘😘😘
Usiku sasa kukesha
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🙌!!
Huu ukweli, hata nilikua sijui kama kuna selfika na sikuwa interested na hayo makitu.Achana nayo, tufikirie mambo ya msingi afu huku selfika nitakutoa maana me ndo nilikuleta