Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alafu likaka lizuri balaa namlia timing kudadeki alafu aunt Yako nina kasauti ka kudeka
Nasemaje nasemaje nimekaa pale😂😂😂😂
Unachelewa wapi sasa bana unaniuziiii🤣🤣🤣

Vijana wazuri wachache ujue, wengine ndio mapapai kama hivi. W
We mbebe jumlaa ndio wachapishe kitabu kabisa😂😂
 
Alafu likaka lizuri balaa namlia timing kudadeki alafu aunt Yako nina kasauti ka kudeka
Nasemaje nasemaje nimekaa pale😂😂😂😂
Ukiwa unasema ‘nasemaje nasemaje’ unatakiwa ukaze sauti😂😂😂😂
Ili wasikuzoee kweli
 
😂😂😂Mimi bhana Yani mtu kunivuruga ni dakika sifuri tu lakini nikikaa sawa siachaji kesi kizembe Kwa kifupi uyo bwana nambeba Yani jumla 😂😂😂😂
Ndio ndiooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilikuwa natafakari nafanyaje nimejipima namuweza na hapa hapindui akileta ujinga namroga Yani hapa ukinipa mm nambeba Yani natak huko pm wasizame tu wazamie 😂😂😂
Mloge muweke kwenye chupa kabisa, aone wasichana wengine kama tumbili🤣🤣
 
😂😂😂Mimi bhana Yani mtu kunivuruga ni dakika sifuri tu lakini nikikaa sawa siachaji kesi kizembe Kwa kifupi uyo bwana nambeba Yani jumla 😂😂😂😂
subiri umetangaza vita kabisaa kuwa unataka umbebe bwana yake eeh 😅😅😅😅 mie nakaa hapo naangalia mtanange ...
 
😂😂😂
subiri umetangaza vita kabisaa kuwa unataka umbebe bwana yake eeh 😅😅😅😅 mie nakaa hapo naangalia mtanange ...
subiri umetangaza vita kabisaa kuwa unataka umbebe bwana yake eeh 😅😅😅😅 mie nakaa hapo naangalia mtanange ...
😂😂😂😂😂
 
Jesus😆
Ndio aliekutuma? Pole sana, kwako wewe, aunt yako na mjomba nchumali mwenzenu.
Pole sanaa mdogo wangu
Poleeeeee sanaaaaa, I can feel you, pole toto

Haya mwambie aunt yako arudi online, ushamaliza kazi aliyokutuma😆
🤣🤣🤣 Em lala
 
Aunt hayuko online katuma kibaraka😂
Nashangaa kona nyingiiii, mara gono, mara ukimwi, sijui nimegongwa sielewi😆
Sasa yule dada nimemkosea nini mimi😂
Anyway, I pray for her, mental health is real.
Nalala dada🥰
Lala mdogo wangu usisahau kuwaombea hao watu Mungu awaponye hiyo roho ya chuki na makasiriko iwatoke

Sema aunt kazingua🤣🤣
She should act her age, hizi kutukanana na kudhalilishana ni ujinga na utoto.
 
Back
Top Bottom