Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lala mdogo wangu usisahau kuwaombea hao watu Mungu awaponye hiyo roho ya chuki na makasiriko iwatoke

Sema aunt kazingua🤣🤣
She should act her age, hizi kutukanana na kudhalilishana ni ujinga na utoto.
Among all people sijategemea kama ni yeye. Anafanana sana na dada angu mmoja hivi, ila daaahh😆😆😆😆
I dunno why am laughing ila tuseme amina
Igweeeeeee😂😂😂
 
tuchochee kuni wote watoke huko tujue mbivu na mbichi mambo ya unafikia na kuanza pakazia watu mambo ya ajabu ajabu haifai wasomi wazima wamama na watoto wao alafu waakuwa chenga chenga sio nzuri aisee.. inasikitishaa sanaa
Ndio hapo sasa, washaanza kutajana
 
😅😅😅😅 mie simooo.. shangaziii umelianzisha mwenyeweeee..
Mjomba walinikwaza yani kikwelikweli alafu nilikuwa na stress za vikoba nadaiwa 😂😂😂ila nilishasamehe nilipofanya Kosa kutaniana na mtu kuongea na mtu nimejifunza dramazao siziwezi kwakweli Mungu awasaidie wapate ela waanze kudiscuss biashara 😂😂😂😂
 
😅😅😅 nimechokaa kabisaa nyie wamama humu tunategema muwe nguzo kumbe ndio.mnatumia tuvijana hutu kuja kutukana na kuzushiwa watu humu maneno.. daah! mashangazi hamna maana walahiii 🥴🥴🥴
Mjomba naomba nilale kesi ngumu Mimi sichelew kulia 😀😀😀waja wakiamka hapa patakuwa hapatoshi
 
aaah hakuna banaaa.. wewe ndio unamzalilisha Antonnia mnaonekana wote sifuri aisee.. umeishataja chanzo cha ugomvi.. kama chanzo ni Antonnia na ndie anakutuma tukana watu na kuvumisha habari za uongo muambie anakosea sana na maisha hayapo hivyo na hayaendi hivyoo..
Najua kuhesabu namba moja mbili tatuuuu
Huku tano na huko tano😂😂😂
Chezea wewe, oohhooo lazma uwe na stress afu ukumbuke ex yuko dar😂
Angekua na hela kidogo angekodisha Wagner Group, sidhani kama ningekuwepo duniani💔
 
Daaah! wame fail kinoma noma yaaani.. mtu mzima kutuma tuvijana hutu kutukana watu dah
Na hizo picha ni zilitumwa kitambo selfika, I think mwaka jana sasa jiulize huyo dogo kazitoa wapi kama hajapewa na aunt yake asambaze kutuchafua.

I just feel sad n sorry for her, she is so beautiful kutuma wajinga wajinga watukane na kuchafua wasichana wenzake bila kujua anajichafua pia yeye
 
Si mlikua mnasema pisi nyembamba wana mikunjo ya roho, oohho sijui wana roho mbaya😂😂😂
Sasa dada yenu mbona😆
Au basi, Mungu ponya roho za watu wenye maumivu sababu ya wengine
Amina🙏
Dah! Nimekosa mimi , nimekosa mimi mdogo wangu mzuri 😊😊😊 Sikategemea hii kitu dah.. kumbe tunacheka hapa .. nyuma ya stage wanatuua
 
Back
Top Bottom