Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Lenie unanichekezhaga sana dp nzuri hivyo ila uhalisia sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆
Ukitaka kujua we ni aibu, kituko, fedhea ni ile siku ilipojitumisha kapicha. Hao unaoita mashangazi walikucheka😂
Maana unavyozalilisha watu unadhani wew ni bora zaidi
Kata hizo ndevu bruh, wanaume wenye ndevu hawana usichana ndani yao, usiwe unatuma vipicha vyako vya aibu humu ndani
 
Na hizo picha ni zilitumwa kitambo selfika, I think mwaka jana sasa jiulize huyo dogo kazitoa wapi kama hajapewa na aunt yake asambaze kutuchafua.

I just feel sad n sorry for her, she is so beautiful kutuma wajinga wajinga watukane na kuchafua wasichana wenzake bila kujua anajichafua pia yeye
hapa katoboa boko, nilikuwa namkubali na kumushemi sana ila kwa hilo picha acha ale matunda yake.. kazingua ile mbayaa
 
Ulikipenda ndo unachoikipigia ndevu sio.

Ndevu ndo mbona zinapendwa sana embu ingia google hapo uone stats.

Anyway bora mimi nilituma ndevu ww wakutuma kifua kisicho na chuchu 😆😆😆 zilikatwa au??
😆😆😆
Maliza chuo ukauze simu makumbusho mwaya. Maana ndipo unapendezea na ndevu zako

Hicho kifua kisicho na chuchu ndicho kilimpa stress aunt yako kumuwaza ex wake😂😂😆
Kamuulize vizuri, hakukutumia kapicha kengine tena tuone
 
Don’t you feel sorry for yourself?
Uko chuo, unamiliki nini eti?
Hujionei huruma wew ni mwanaume, kutwa kusifia mashangazi humu ndani,
Kujitumisha vichipsi eti nimetoka field nimechoka😂
Ofisi za watu utumike, Antonnia akutumie pia kuchafua watu
Hujiskii aibu kama mwanaume
That’s so poor baby boy, so poor
Pole, pole sanaa mdogo wangu
alafu chochonde chonde asinigusie katoto kangu Depal ...akome kunizeesha mtoto wangu 😅😅😅😅
 
😆😆😆
Ukitaka kujua we ni aibu, kituko, fedhea ni ile siku ilipojitumisha kapicha. Hao unaoita mashangazi walikucheka😂
Maana unavyozalilisha watu unadhani wew ni bora zaidi
Kata hizo ndevu bruh, wanaume wenye ndevu hawana usichana ndani yao, usiwe unatuma vipicha vyako vya aibu humu ndani
wenye midevu yetu tumekaa pembeni tunamuangalia 😅😅
 
😂😂😂
Ila we kaka Unateseka na maisha yangu, unajua saiv nimefungua PM, saiv nimefunga
Aiseeeee😂😂🙌🙌

Aunt yako kaolewa na nani? Ungekuta yuko selfika kusubiri vocha za Mjep?
Ungekuta anatuma picha yuko na mtandio?
Anatafuta nini Kwani? If she is happy married with beautiful kids😂😂😂

Toka nje ya JF and gave the truth, jaribu kumtembelea huko alipo uone maisha anayoishi, then compare it with any of us Lenie Depal au mimi
Ni mbingu na ardhi, so chill baby boi chill
I'm happily married with 2 kids🥰😂

Muda wa kulala huu mdogo wangu, me ndio nakaribia home hapa, nimeenjoy sana leo aki🤣🤣
 
Back
Top Bottom