Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,702
Unaumia ukiwa wapi mdogo wangu?Kama ingekuws sio shida ungepotezea mbona una comment sasa 🤣🤣🤣.
Pole Darlin .kunywa juisi ya rubisi kidogo
Unaona nimekaa kimya unadhani nakuogopa? No toto, sikuogopi
Maana najua hauko sawa, kihisia, kimwili, kibalojia. Please tafuta msaada, haiwezekani maisha yangu yakawa yanakuumiza hivo, tena mtoto wa kiume.
Tafuta msaada kipenzi. Before situation get out of hands.






