Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakikuzushia ndio unaongeza ukaribu zaidi waendelee kuteseka, usikae kinyonge🤣🤣
Af ukiangalia hao watu wenyewe sasa, ni wamepauka hawana maisha hadi wanatia huruma.

Hua muda atleast wangefocus kujiboresha kimaisha Ila wamekalia ujinga ambao hauwasaidii kwa maisha yao.
Na mm ndo nashangaa kunawatu hata uhakika wa Milo mitatu hawana lakini kuwakalia watu kooni inashangaza kwakweli
Kilichoninyima Raha sijawah mfatilia mtu sijawah mfitinia mtu,sijawah tukana mtu Wala kugombana na mtu maishayangu yenyew magumu 😀sijui Huwa wanafikiriaga nn
 
Boss unatak maji ya kunywa? Vip ulisema unanitafutia visa ili next mouth twende wote nikusaidie mizigo na kuchagua ngua german umefikia wapi

Boss wangu mimi ujui kununa kabisa muone ulivyo mrembo hasa ukicheka jaman na vile Mungu kakupa kicheko mpaka ex anaona wivu Countrywide ongeza tabasamu kwa bibie leo
She's good , najitahidi sana kumfanya atabasamu kila wakati
 
Kabisa mpedwa
Usiku mwema maana hata hii usiku mwema wataenda izushia huko pm kwamba tayari😜😁😁😁
😅😅😅 haya cha ukorofi wangu. Mungu awatunze..

Najua director ana karamu na karatasi.. anatunga movie tumeaga ili tukutane sasa
 
Na mm ndo nashangaa kunawatu hata uhakika wa Milo mitatu hawana lakini kuwakalia watu kooni inashangaza kwakweli
Kilichoninyima Raha sijawah mfatilia mtu sijawah mfitinia mtu,sijawah tukana mtu Wala kugombana na mtu maishayangu yenyew magumu 😀sijui Huwa wanafikiriaga nn
wanafikiria wakunyime tu raha, roho zao zifurahi 😅😅😅

si unajua mchawi huwa ni wasumbufu tu
 
0DB08C9F-58D3-4479-A310-010F9ABD70A9.png
 
Back
Top Bottom