Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,482
Na mm ndo nashangaa kunawatu hata uhakika wa Milo mitatu hawana lakini kuwakalia watu kooni inashangaza kwakweliWakikuzushia ndio unaongeza ukaribu zaidi waendelee kuteseka, usikae kinyonge🤣🤣
Af ukiangalia hao watu wenyewe sasa, ni wamepauka hawana maisha hadi wanatia huruma.
Hua muda atleast wangefocus kujiboresha kimaisha Ila wamekalia ujinga ambao hauwasaidii kwa maisha yao.
Kilichoninyima Raha sijawah mfatilia mtu sijawah mfitinia mtu,sijawah tukana mtu Wala kugombana na mtu maishayangu yenyew magumu 😀sijui Huwa wanafikiriaga nn