Yule baba wenzake wanampelekea umbea
Na yeye anautoa nje
π€£π€£
Hivi unajua wale sio wazima?
Sema napenda sekta yake ya kukana
Mjomba anajua kukana yule πππ
Wapuuzi wanafaa kupuuziwa
Umuache ajipe airtime akichoka ananyamaza, kakuta watu wako tangu 2007 halafu anakuja kujifanya anajua watu humu ndani kama amezaliwa nao
Pathetic!
hata wewe mdogo wangu π₯΄π₯΄π₯΄
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
Nilijaribuπππ
Wuuueeehhhh nimenyanyua mikono juu
Nlitengeneza kwa Diddy expert kwa 70,000 mbona nlinyooka, nlivyotoka hapo ni mimi na knotless zangu za 20,000