Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

jf imekuwa ya kishenzi kupita maelezo.. mie huko nimeambiwa nachezea watoto wa kike na kuwatelekeza ukiwaukiza nimalala nani hawajibu pa hovyo sana humu
Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika


Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile wakati wa msiba tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus


Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika


Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus


Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅.


Oyaaaa wweeeee. Oyaa WEEEEE OYAA WEEEEWWH
 
Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika


Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus


Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii

Sent using Jamii Forums mobile app

Ilikuwa ya lini hiyo? Mimi jamani nimechelewa kuja selfika sijui kwann mpk vitu vingi vimenipita

Shosti humu mnaishije? Mbona hekaheka mingi sana’aa
 
Ilikuwa ya lini hiyo? Mimi jamani nimechelewa kuja selfika sijui kwann mpk vitu vingi vimenipita

Shosti humu mnaishije? Mbona hekaheka mingi sana’aa
Hizo stori nimeambiwa juzi tu wiki hizihizi
Hata habari nilikuwa sina

Yaani sijui hata zimetokea wapi
Aliyezitunga ni mtungaji mzuri,akienda bongo movie anachukua tuzo mbona.



Uzuri Mimi sihangaishwi na mpumbavu yeyote humu,
Picha napost ninavyotaka Toka uzi umeanza..hakuna wa kunipgopesha humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo stori nimeambiwa juzi tu wiki hizihizi
Hata habari nilikuwa sina

Yaani sijui hata zimetokea wapi
Aliyezitunga ni mtungaji mzuri,akienda bongo movie anachukua tuzo mbona.



Uzuri Mimi sihangaishwi na mpumbavu yeyote humu,
Picha napost ninavyotaka Toka uzi umeanza..hakuna wa kunipgopesha humu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh! Pole aiseee!! Huu mji ni mzito aiseee!!
 
Back
Top Bottom