Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo stori nimeambiwa juzi tu wiki hizihizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata habari nilikuwa sina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani sijui hata zimetokea wapi
Aliyezitunga ni mtungaji mzuri,akienda bongo movie anachukua tuzo mbona.



Uzuri Mimi sihangaishwi na mpumbavu yeyote humu,
Picha napost ninavyotaka Toka uzi umeanza..hakuna wa kunipgopesha humu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh! Pole aiseee!! Huu mji ni mzito aiseee!!
 
Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile wakati wa msiba tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea[emoji23][emoji23][emoji23]
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus


Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
hata wewe mdogo wangu 🥴🥴🥴
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
 
hata wewe mdogo wangu [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
Hata Mimi nashangaa kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemchulia hadi dada Mkubwa Heaven Sent

Eti Mimi na yeye wote umepita na sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akiyanani jf sihami[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikia pia eti Mimi na wewe tulikutana tukafanya yetu huko Dodoma wakati nimeenda kuchukua cheti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui eti tukalala Morogoro tukasingizia gari limeharibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Akiyanani
Cheti nilichukua wakati wa graduu..
Kipindi kile wakati wa msiba tumekutana nimeenda kanisani,sijui cheti gani tena wadau walinitengenezea[emoji23][emoji23][emoji23]
Na safari ya Dodoma interview nikasafiri usiku kucha kuwahi kibarua Cha muhindi,nilipost picha nipo Msamvu nikiwa kwenye bus.
Nasikia ndo wanasema eti gari lilituharibikia hapo,sasa sijui siku hizi unaendesha mabus


Hizi stori zimenichekesha nikataka kuzimia.
Ngoja niweke na Ile selfie yetu ya Mlimani City siku Ile tumeonana nikiwa na ndugu zangu.
Sijui wataitungia story ipi safari hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji38][emoji38][emoji38]
Pole dada, raha ya huku ndani huna hili wala lile unashangaa una mimba tayari[emoji23][emoji23]
 
hata wewe mdogo wangu [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..

Pole sana bro
Sasa wewe una ubaya na nani humu ndani[emoji23]
Au wanaona unawachukulia wanawake wao
 
Hata Mimi nashangaa kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemchulia hadi dada Mkubwa Heaven Sent

Eti Mimi na yeye wote umepita na sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akiyanani jf sihami[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
🥴🥴🥴🥴 maskini mama mchungaji Heaven Sent hata kusikia sauti yangu au yake achana kuonana tu haijawai.. tokea..


Hawa watasepa mmoja baada ya mwingine ni kikundi cha watu..

Nimekuwa mualifu kiasia gani hadi kutembea nawe mdogo wangu dah 😔😔😔....
 
Rafikianguuu nisamehe mno
Nmekuwa busy kweli kweli
Nambie unaendeleaje

Bado siko poa kivile, baridi linanitesa limeniletea homa nilijifanya mbishi kunywa dawa mwenyewe nakunywa bila kushikiwa fimbo[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Bado siko poa kivile, baridi linanitesa limeniletea homa nilijifanya mbishi kunywa dawa mwenyewe nakunywa bila kushikiwa fimbo[emoji17][emoji17][emoji17]
Aihh kwahiyo weekend hii hunywi bia 😏😏 sijapentraaa
 
hata wewe mdogo wangu 🥴🥴🥴
huyo mtu hatokuwa na maisha marefu labda sio mimi.. bora waendelee kunichafua mie ila wasiwaguse wadogo zanguu.. Kama sio mimi hicho kikundi kinacho sambaza hizi propaganda wakivuka huu mwaka.. nitaondoka mie ... Kuna mtu alitumiwa pm ananiheshimu sana akanionesha mikekaa nikasema mimi huyu au kuna mwingine.. atachomoka mmoja baada ya mwingine.. wataona kama utani ila utakuja niambia hapa zikianza tanzia ..
Makubaliano si yalikuwa ni kuachana na any kind of drama frm Jf? Then why u keep on? Huwezi kuignore? Kublock pia? Eishhhh

Better urudi kwenye ile ID nyingine... Romeo na wewe wa 2021.

Yule niliyekuwa nampigia simu mpaka inakuwa ya moto 🤣🤣
Mxieeeeeew.
Ninyonyeshe mtoto alale.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Pole dada, raha ya huku ndani huna hili wala lile unashangaa una mimba tayari[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara nitasikia wamenitungia stori kuwa nina mimba ya mtu humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu Mimi habari sina[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom