Khaaa usiniuze kwa huyu tasavali
Tuma kwenye shabiby naipokeaNakupa, wewe tena udugu wangu![]()
Ewaaaa ukisema wewe mimi nani nipinge....hakuna kuwajibu




😀 😀 acha kunipeperushia njiwa wangu, nataka nimvishe pete ya uchumba, au unapenda anavyokuwa singo

Wenye vitambi hawajui kazi, sisi ambao tuko flat ndio tuko vizuri kila idara 😀
Khaaa usiniuze kwa huyu tasavali









Tuma kwenye shabiby naipokea
Tunataka tutete mambo mazuri ya uwekezajiKuna nn huko
😀 😀 acha kunipeperushia njiwa wangu, nataka nimvishe pete ya uchumba, au unapenda anavyokuwa singo





Baada ya kutuma mtaji na kujiandaa saana kumbe changa la machoHuyo akinipa maokoto shogare utaenda hata kwa winch
Usintanie nataka pesa za kuongezea mtaji wangu mie![]()


Leta namba nikutumie kwa jfpesa sasa hivi; haiwezekani mtoto mzuri hivyo uhangaike kutafuta mtaji 😀Huyo akinipa maokoto shogare utaenda hata kwa winch
Usintanie nataka pesa za kuongezea mtaji wangu mie![]()
Naelewa basi nashangaa imetoka kidogo kama kibamia 😄😆umecrop sana bro😅
Walishasoma magazeti na wakayamaliza 😀babu naona umeligundua chimbo
acha mabinti wasome usiwasumbue😅
achana naye, mwenyewe si mchoyo wa selfikaFanya chap mtandao voda
Huyo mwali wangu ananisikiliza mimi ndio kungwi wake tajiri![]()

Nimemuona na amenona kweli, akiolewa na equation x hatojuta; yeye kazi yake itakuwa ni moja tu 😀Ndoa bila kujua km pesa ipo?? Unataka ukamlishe nyasi?? Mtoto alivyo bomba hivyo afu umpaushe km kikoi cha wamasai wa Longido asubutuuu!!![]()