Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndoa bila kujua km pesa ipo?? Unataka ukamlishe nyasi?? Mtoto alivyo bomba hivyo afu umpaushe km kikoi cha wamasai wa Longido asubutuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemuona na amenona kweli, akiolewa na equation x hatojuta; yeye kazi yake itakuwa ni moja tu 😀
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo unaongea huku unatetemeka
Nina binamu yangu ana akili mbovu, ananiambiaga ukitaka kumkimbiza mwanaume mtajie pesa, hakusumbui tena
Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.​
 
Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.​

Na uzuri na sie tunawatambua wenye pesa na wasio nazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom