Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hapo unaongea huku unatetemeka
Nina binamu yangu ana akili mbovu, ananiambiaga ukitaka kumkimbiza mwanaume mtajie pesa, hakusumbui tena
Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.​
 
Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.​

Na uzuri na sie tunawatambua wenye pesa na wasio nazo
 
Back
Top Bottom