YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Nimemuona na amenona kweli, akiolewa na equation x hatojuta; yeye kazi yake itakuwa ni moja tu 😀
Ndio uchane wallet sasa




Nimemuona na amenona kweli, akiolewa na equation x hatojuta; yeye kazi yake itakuwa ni moja tu 😀




unataka nichukuliwe na maji mkaniokote mtoni huko..., AkaaahUshakata tamaa?? Basi wewe umekosa mambo mazuri kutoka kwa kokubanza![]()
Nitume no ya wakala![]()





iambatanishe na picha, namba pekee yake hatuifanyii kaziNitume no ya wakala![]()


Namba yako itakuwa vizuri zaidiNitume no ya wakala 🤩
Nipo nae hapa karibu, ameagiza safari laga 😀Ndio uchane wallet sasa![]()
😀😀Mtumie ya wakala makato yafanyike moja kwa moja asilete janja janja za nyani![]()
Unaona sasa mbwembwe zako
Haipokei hela inadaiwa bustisha 😶Namba yako itakuwa vizuri zaidi
Limeisha babe, ninunulie na uzi wa mwananchi kabisaa nivalie na kinjunga![]()

Bilian nikila naalisha kisa mafuta😀😀Wanasimba hatuna dogo😀😀nimeweka na rangi nyekundu 😂😂😂View attachment 2710197
Pole sijaweka mafuta mengi mm pia sipend mafuta alafu nimepika mchele wa kawaida tu hivo nimepika km wali tuBilian nikila naalisha kisa mafuta