haina noma arifu, kama we ndo tunafanyiana hivyoImekula kwako jombaaa
Shoga tugawane basi
Tuma kwenye shabiby naipokeaNakupa, wewe tena udugu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
nikikutumia vocha wewe utamwambia ajibu piemu yangu?Shogaangu Missy Gf usijibu piem km hajakutumia vocha, asikuchoshe kutype [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaa ukisema wewe mimi nani nipinge....hakuna kuwajibu
😀 😀 acha kunipeperushia njiwa wangu, nataka nimvishe pete ya uchumba, au unapenda anavyokuwa singoShogaangu Missy Gf usijibu piem km hajakutumia vocha, asikuchoshe kutype [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye vitambi hawajui kazi, sisi ambao tuko flat ndio tuko vizuri kila idara 😀Akhu!! Wewe mchukue shoga angu Missy Gf
Mimi nawataka wababa ss hivi wa kuwakuna vitambi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaa usiniuze kwa huyu tasavali
Tuma kwenye shabiby naipokea
Tunataka tutete mambo mazuri ya uwekezajiKuna nn huko
😀 😀 acha kunipeperushia njiwa wangu, nataka nimvishe pete ya uchumba, au unapenda anavyokuwa singo
Baada ya kutuma mtaji na kujiandaa saana kumbe changa la macho [emoji23][emoji23]Huyo akinipa maokoto shogare utaenda hata kwa winch [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usintanie nataka pesa za kuongezea mtaji wangu mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leta namba nikutumie kwa jfpesa sasa hivi; haiwezekani mtoto mzuri hivyo uhangaike kutafuta mtaji 😀Huyo akinipa maokoto shogare utaenda hata kwa winch [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usintanie nataka pesa za kuongezea mtaji wangu mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naelewa basi nashangaa imetoka kidogo kama kibamia 😄😆umecrop sana bro😅
Walishasoma magazeti na wakayamaliza 😀babu naona umeligundua chimbo
acha mabinti wasome usiwasumbue😅