YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Khaaaa nmekwambia sipo naye hapa![]()



sawa ila kuwa makini asije kurukisha mtu kichura churaKhaaaa nmekwambia sipo naye hapa![]()



sawa ila kuwa makini asije kurukisha mtu kichura churaHaya futa hii is isibaki na picha yetu
InapendezaSs hivi nabebishwa mimi nishajifunza kutoka kwao![]()
Ebu nikuone na wewe, moyo unaweza ukalegea zaidi nikakupa nyumba ya wazee





Hela ya bundle tu Hana sembuse ya cementManeno mengi hawa![]()
Hahahah hebu njoo tutete kwanza kidogo usichanganye madesasawa ila kuwa makini asije kurukisha mtu kichura chura
Hela ya bundle tu Hana sembuse ya cement



Hahahah hebu njoo tutete kwanza kidogo usichanganye madesa



nakuja shogare kumbe nishavuka lineNaamini kweli wewe ni kifaa, sijutii kukuweka katika mawazo yangu; pata kinywaji ukipendacho kwa hisani ya pochi yako 😀Hata usijichoshe mwenzio kabaya wewe km unataka kunibless huo mjengo wa urithi nipage tyuu![]()
Naamini kweli wewe ni kifaa, sijutii kukuweka katika mawazo yangu; pata kinywaji ukipendacho kwa hisani ya pochi yako 😀





Halafu nyie wenye maneno mengi, kwenye shoo huwa ni ziro 😀 😀 ,ni full kujiegesha tuNyonya mpk aishiwe damu yote mwilini![]()
Sogea karibu na nyuki ule asali; asali inakuwa tamu sana pale unapong'atwa na nyuki 😀Mxxiewwww
Lete pesa hizo tule acha ubahili
Kumbe mwananchi? Mimi sijuagi nashabikia team gani? Itakayoshinda ndio yangu aiseeee!!![]()

Halafu nyie wenye maneno mengi, kwenye shoo huwa ni ziro 😀 😀 ,ni full kujiegesha tu




Sogea karibu na nyuki ule asali; asali inakuwa tamu sana pale unapong'atwa na nyuki 😀



thubutuuuu!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 poleeee