Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Exactly na kwangu mimi naona ni vyema

UMHESHIMU ANAYEKUHESHIMU. sio asiyekuheshimu si unashuka naye jumla jumla tu.

Simpo. Oooh nimesahau we unasema huwezi muita changudoa sawa

Je mwanamke anayejiuza anaitwaje??

Embu nipe jina lake au ni mfanya biashara sio.

Huyu naye asikuchoshe wewe km unaanza kuchangamsha kijiwe anza tule burudani hapa

Afu pombe za leo zina roho mtaka fujo tupu!!!
 
Back
Top Bottom