YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
yani hadi nasahau mkeka wangu.. sio kweli aisee... huu mkeka wa mtu mwingine sio mie..
Wa kwako usibishe





yani hadi nasahau mkeka wangu.. sio kweli aisee... huu mkeka wa mtu mwingine sio mie..





😅😅😅 tunaogopa siku hizi PM kama ukoma,Sikia bhana natania hebu njoo PM Unileezee jambo au nifuree sasa hivi
Kweli mapenzi ni utapeli,🤣😂😁, we wa kumuita kikongwe- mama😂😁🏃🏃sawa mama
kaushaa basi 😅😅😅😅😅Wa kwako usibishe![]()
Dereva ni baby wangu so yuko makini na nimemkamatia vema tu kwa kiunoOk hapo sawa alafu mwambie aende taratibu mshikilie vizuri sawa 😄
Dah kumbe wenzetu mna mabebi na hamsemi😂😁🤣Me naenda kulewa na baby wangu🤣🤣
Ile imeendaa mjombaa sidhani kama itakuja jirudia!!kipindi kile ilikuwa rahaa... ebu ijuduie basi wapendwa wetu 🙂🙂
Kadai ni uongoo ila kiukweli nimeoewa na mtu huo umbeya








toka nimejiunga humu sijawai tamkia mtu mambo za mapenzi.. napaogopa kweli kweli 😅😅😅😅.. tubaki hivi hivi tuUpo Kama Mimi😂🤣😁
King kiba in da building 🔥🔥View attachment 2709250
Kesho hatoki mtu
😔😔😔😔😔 ilikuwa nzuri sanaIle imeendaa mjombaa sidhani kama itakuja jirudia!!
weyeer acha kula tango pori banaaa![]()



hili linaokena lina ukweli ndani yake usinitoe kwenye reliHata sina jipya mjombaa! Usijareee nikipiga ntakutag!tuone hips 🙂🙂🙂
Mimi wame fika 50😂🤣😁toka nimejiunga humu sijawai tamkia mtu mambo za mapenzi.. napaogopa kweli kweli 😅😅😅😅.. tubaki hivi hivi tu
Mnoooo!😔😔😔😔😔 ilikuwa nzuri sana
Hivi kuna mtu hana bebe? Mnaishije sasa kama magaidi khaDah kumbe wenzetu mna mabebi na hamsemi😂😁🤣
Madam santo Domingo, Mambo😂Mnoooo!
nasoma vizuriii kabisa.. mtoto mzuri 🙂🙂🙂Sikia tuliwahi chart inbobo kuhusu jambo la hela so kakwenye mstari@national anthem unasoma au??